King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Nyie pelekeni kijiwaraka chenu social media zote pia piteni kila nyumba mnasoma huo waraka Ila nothing will change DP world must come soon.Mkuu wewe mwenyewe upo mtandaoni na habari zote unazi pata kutoka mtandaoni bado tu unaamini magazeti yananafasi katika ulimwengu wa sasa😵
Nyakati hizi tulizopo ninyakati ambazo watu wanapata habari kwa haraka zaidi kwa kupitia mitandao kuliko wakati wowote kawahi kutokea, hivyo magazeti kutokuandika habari ya waraka wa baraza la maaskofu hiyo haipunguzi chochote
Mimi ni msahaulifu hebu naomba tamko la TEC kwenye wizi wa Uchaguzi wa 2020Hawajawahi kukaa kimya labda kama umezaliwa jana, Askofu aliyenyanganywa pasport hivi alikuwa nani? aliyekemea utumbuaji usio na staha unakumbuka alikuwa nani? Vuta kumbukumbu Mkuu utanipa jibu, Askofu Bagonza umemsahau mara hii? Unakumbuka walimuita magufuri kupa honyo kuhusu mauaji horela akagoma kwenda huko tec.
Inamana mpaka magazeti ya Vatican na Pengo hayajaandika?Jana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Hizo gharama za kusambaza waraka ni Bora wangenunua mvinyo wachanganye kwenye divai ili walewe vizuri, Tec ni taasisi ya ajabu kabisa yaani imejiingiza mkenge na kuanza kupinga maendeleo waziwazi.Yamenunuliwa Unajua Kanisa Lina Akili
Lenyewe Linaupeleka Waraka Mpaka Kijijini Ambako Mwananchi Hawezi Kupata Gazeti
Aibu sana !Jana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Tanzania hamna vyombo huru vya habari na waadnidhi wote wamegeuka kuwa madalali.Jana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Thubutu😞Nyie pelekeni kijiwaraka chenu social media zote pia piteni kila nyumba mnasoma huo waraka Ila nothing will change DP world must come soon.
TEC Imetuvuruga Sana Mpaka Sasa HatuelewiHizo gharama za kusambaza waraka ni Bora wangenunua mvinyo wachanganye kwenye divai ili walewe vizuri, Tec ni taasisi ya ajabu kabisa yaani imejiingiza mkenge na kuanza kupinga maendeleo waziwazi.
Hata mimi kwenye kagazeti changu cha matching guy sikuandika lolote juu ya waraka wa tec. Kwa ukapa huu nani anataka kufungiwa biashara yake?Jana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Waandike ile takataka ya TEC ?Jana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Thubutu😞
nakondoo wa siku ya IddHao huwaambii kitu kuhusu Waarabu!! Sijui ni zile tende za msaada ndiyo zimewapumbaza!!!
Wamesoma makada na makatibu wa CCM ambao wanaugua gono sasa hivi kwa ngonoMmesomewa na watu wasiojua raha ya ngono, nyie ni wajinga kabisa.
Msema kweli nali halijaandika!?..anyway,lile ni suala la kanisani,magazeti hayawezi andika mambo ya nyumba za Ibada,tamko la maaskofu,hotuba ya ijumaa nkJana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.
Siku hizi Magazeti yanasomwa na makabwela na kofungia dagaaMagazeti yamefanya Jambo la msingi Kabisa haya Tec nendeni mkashitaki Vatican
Hii imeonesha nani mfuga mbwa na nani ni mbwa tu,tofauti na walivyodhaniKanuni kuu ya kuhabarisha ni kuwa, kwa kadri unapozuia habari ya muhimu isiwafikie watu, ndivyo habari hiyo inavyokuwa bidhaa muhimu ya kutafutwa na watu wengi zaidi na mwisho wa siku watu wengi wataipata.
Siku hz hatusomi magazeti yalishapitwa na wakatiJana kulikuwa na tetesi kuwa vyombo vyote vya habari vimepewa amri ya kutoandika habari za waraka wa TEC.
Haiwezi kuwa coincidence, yoooote yasiandike. Ni kweli Nape aliyapa maagizo ya kutoandika.