Maghorofa Magomeni kumbukumbu inayoishi ya John Pombe Magufuli


Kwanza ulikua unatuletea habari za upande wa pili zilizojaa propaganda za westerns. Leo umenifurahisha.....
 
Azory na Ben wamefanyaje?
Na wanahusikaje na Magomeni flats
Know the base of the story, kumbukumbu nyingine Ni watu aliowaua Jiwe. It is not maghorofa only to remember! Chawa watakumbuka maghorofa, watetezi wa haki za binadamu watawakumbuka watu/maiti waliokufa kwenye mikono yake
 
Know the base of the story, kumbukumbu nyingine Ni watu aliowaua Jiwe. It is not maghorofa only to remember! Chawa watakumbuka maghorofa, watetezi wa haki za binadamu watawakumbuka watu/maiti waliokufa kwenye mikono yake
Unajua ni watu wangapi wameuwawa kisiasa tangu tupate uhuru mwaka 1961?. JPM alikuwa ni rais wa awamu ya tano, zipo nne zilimtangulia.

Ukitaka kufanya tathmini ya kina rudi nyuma awamu zilizopita ili utoe hukumu au malalamiko yako kwa haki zaidi.
 
 
Kwani mabarabara, madaraja, nyumba,n.k hayakuwepo enzi za Mkapa,JK,Mwinyi,na Nyerere?

Huyu nyerere kitu gani cha maana amefanya? Huwa mnamtukuza sana lakini hana alichokifanya zaidi ya kutaifisha mali za watu na ukandamizaji...in short hamfikii magufuli hata kidogo though kuna mambo yamefanana kiasi flani......

SSH is the best president ever.....japo kuna mambo flani hivi hayako sawa, ila naamini ataweka sawa na kuendelea kufanya mazuri......abarikiwe mama.
 
Unapoongea hivi unakuwa huna tofauti na wale jamaa wanaoitwa kwa kingereza motivational speakers.

Wanapangilia hoja mpaka kilimo cha bagamoyo kinaonekana kina manufaa sana, sasa ingia ulime uone muziki wake.
Sio hadithi that is what has transpired so far with physical evidence nyumba za TBA si hizo zimezinduliwa leo na gharama ya mradi tumepewa.

Na plan tunaambiwa ni hiyo part buy, part rent kwa watakao bahatika kupata hizo nafasi. Provided TBA wanasema ukweli motisha yao sio profit but return on investment hizi nyumba zitakuwa affordable.

Just quick maths given the average unit cost waki demand 15% to 20% percent kama down payment ya kununulia nyumba na rent ya laki 3 tu kwa mwezi + services charges, na serikali wakishauriwa VAT kwenye rent iwe 5% tu; wafanyakazi wengi wa serikali wanazimudu na ndani ya 25 years inakuwa mali zao.

Na kwa upande wa TBS ukifanikiwa kupata 15% to 20% ya mradi wote jumlisha una income ya rent kila mwezi unaanza kabisa ujenzi mpya eneo lingine kulenga watu hao hao wenye shida zaidi ya makazi.

Sio nyumba million 200 halafu uweke deposit 30%, baada ya hapo kilichobaki ulipe kwa mortgage ya 15% interest annually for the remainder of the years.

Nyumba kama hizo bora uwe na cash ya kununua, lakini kuchukua mortage nyumba wewe ni hamnazo kweli kweli; ndio maana zimedoda project zao zote expensive nyumba wanapangisha awajauza hakuna mtu timamu atanunua nyumba zile.

Baada ya kuona biashara imedoda wakaanza kulia ohoo waachieni wageni wamiliki ardhi ili wawe comfortable kununua nyumba za NHC. Sasa uliambiwa ujenge nyumba za wageni au watanzania wa kawaida, huyo dogo Ridhiwani anatakiwa amrudie baba yake amwambie kamuingiza cha kike kwa Nehemia he just doesn’t have the business acumen.
 
Waliompiga risasi ndio hao unaowasifia hapa eti maghorofa
Alipigwa risasi bosi wa zamani wa usalama wa Taifa na kuuwawa tena akiwa amenyoosha mikono juu, sembuse huyo mheshimiwa mbunge!.

Haya mambo kama wewe ni mgeni wa taifa hili unaweza kueleweka namna unavyolialia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…