Maghorofa Magomeni kumbukumbu inayoishi ya John Pombe Magufuli

Unajua imetumika kiasi gani cha pesa kujenga yale maghorofa?. Unajua kuwa angeweza kuzitumia pesa hizo kwa matumizi ya anasa tu?.

Shame on you kwako wewe ambaye unajua kulaumu tu.
Hizo billioni hamsini ni sawa na barabara kutoka Dar hadi kwa mfipa tu. Sasa hujiulizi waliomtangulia hawakuweka miradi ya Bilioni hizo? Mradi upi ni gharama na manufaa zaidi katika ya Bilioni 50 za nyumba Dar na Bilioni zaidi ya 400 za barabara ya Dodoma Arusha? Hakuna legacy unique kwa Magufuli.
 
Alipigwa risasi bosi wa zamani wa usalama wa Taifa na kuuwawa tena akiwa amenyoosha mikono juu, sembuse huyo mheshimiwa mbunge!.

Haya mambo kama wewe ni mgeni wa taifa hili unaweza kueleweka namna unavyolialia.
Issue sio wadhifa wa mtu, issue Ni uhai wa mtu
 
Ulikuwa hujazaliwa wakati wa utawala wa Nyerere so sio kosa lako kuona hakuna la maana alilowahi kufanya. Na ulikuwa hujazaliwa mwaka 2020 wakati Anthony Diallo alipoyaorodhesha mambo aliyofanya Nyerere kwa kulinganisha na yale ya Magufuli.

Maana Magufuli alinunua ndege, Nyerere hakununua hata moja. Magufuli alianzisha mradi wa umeme wa Stiglers ilhali yale mabwawa ya umeme ya Mtera,Ruvu,nk anayojivunia Nyerere hakuyajenge yeye bali yalishuka kutoka Mbinguni kama Qur'an.
 
Cha muhimu amefanya alilolifanya kwa vitendo na leo mradi umefunguliwa utaanza kutumiwa na wakazi waliokuwa wakiishi hapo. Hicho ndicho cha muhimu, hizo habari nyingine za bilioni sijui mia sijui hamsini ni mbwembwe tu.
 

Wananchi wanahitaji maendeleo, kwa nyerere hii kitu haikuwepo....labda ungesema mwinyi hapo sawa.
 
Mama she is okay, tatizo ni kule kwenye pesa ! Watu wakiziona pesa akili zinaruka madudu yanaanza !! Let's wait and see !!
 
John Pombe Joseph Magufuli - Rais anayeendelea kuishi mioyoni mwa Watanzania hata baada ya kututoka kimwili. Aendelee kupumzika kwa amani. 🙏
 
Nyerere labda haumfahamu. Viwanda vyote vya awamu ya kwanza vilivyotaifishwa awamu ya tatu ni kazi ya Nyerere.
Kumbe humu jf vijana ni wengi sana !! Nyerere wakati anang'atuka aliacha viwanda zaidi ya 400 na tukisema viwanda wajue vilikuwa viwanda kweli kweli ! Hayati Mkapa aliwahi kukiri kwamba katika uongozi wake kitu anachojutia sana kukifanya ni kubinafsisha vile viwanda !! Mzee Mwinyi alichofanya ni kuachia watu waingize bidhaa kutoka nje kiholela na ndipo maadili yote yalianza kuporomoka yakaanza madili !!!
 
Magu wataishi miaka mitano buree........vs 3months za Samia...............
 
Hivi UDSM, Mloganzil, uwanja wa michezo wa Mkapa, mabwawa ya maji ya umeme Kidatu, Ntera, Nyumb ya Mungu, sokoine university, university of Dofoma, viwanja vya ndege vyote kama Kia n.k alijenga Magu?
Mbona mnataka kilazimisha kutusahaulisha maiti zilizookotwa kwenye mifuko, kupotea kwa wapinzani kuliko kithiri, kushambuliwa risasi na kutekwa kwa wapinzani kusiko mithirika wakati wowote?
Jamani hakuna mtoto wa kumdanganya kwa pipi, ukatili tutaukumbuka tu!
 
Cha muhimu amefanya alilolifanya kwa vitendo na leo mradi umefunguliwa utaanza kutumiwa na wakazi waliokuwa wakiishi hapo. Hicho ndicho cha muhimu, hizo habari nyingine za bilioni sijui mia sijui hamsini ni mbwembwe tu.
Wazee wa legasi kazi mnayo
 
Kule Mbeya ameacha kumbukumbu gani?
 
Ww ndio huna akili ,kwa kuwa huwezi kujenga hoja.Unabaki kuongea upuuzi tupu.Magufuli atabaki kuwa Rais aliyefanya mengi Sana kuliko Rais yeyote.

Alikuwa Rais wa kuhudumia watu.

Na kazi zake zinaendelea.

Sio Rais wa kuchekacheka tu.
MKIRU ALIUA WATU ZAIDI YA 400, RUBBISH
 
Kama alipata neema ya kuungama kabla ya mauti basi ana heri.

Mungu huwa anasamehe bila kujali udogo au ukubwa wa dhambi.
Stupid unaua watu kwa jeuri ya kutaka kutawala milele eti utaungama. Achà.life likandamizwe na shetani Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…