Magu: Watoto wawili wauawa na fisi wakienda shule


Kwa hiyo tuseme wewe ni mtaalamu wa fisi au?
 
kahangaike na umaskini wako na wa ukoo wako hakuna aliyekusababishia. umechanganyikiwa mpaka unachangia jambo lisilo na uhusiano na thread.
Mkuu haya masukuma gang ni kuyaacha kama yalivyo! Nahisi majina yao yapo kwenye usia alioacha mwenda zake kuwa yalikuwa kwenye waiting list ya teuzi mbalimbali alizokuwa anafanya mwendazake! Sasa nchi ina kiongozi ambaye ame ignore huo usia! Yanabaki kulia lia tu humu. Cc USSR ,Braza j
 
Nashauri watoto wasitembee umbali mkubwa kwenda shule.
Na pia watoto wa kijijini wahesabu namba saa mbili kamili asubuhi.
Ni huzuni kubwa sana mtoto anafuata elimu, badala yake anapoteza maisha kikatili namna hii.
MUNGU AWABARIKI WATOTO WOTE WALIOPOTEZA MAISHA KWA NJIA HII.
AMINA.
 
Wewe jamaa ndio mpumbavu kuliko huyo fisi aliekula mtoto,hiki ulichoandika ni bora mzazi wako angepiga punyeto kuliko kuzaa takataka,badala ya kuja na na solutions ya tatizo unamshambulia mleta hoja,kwa kutetea watawala, hopeless kabisa wewe kima
 
Kwa hiyo tuseme wewe ni mtaalamu wa fisi au?
akili zako za kichupi ndo zimekomea hapo! Fisi kwenye makazi ya wa watu huku kanda ya ziwa ni janga! Hawa wapuuzi wanaofuga wanatakiwa wapewe elimu au watu wa maliasili watoke huko walipo waendeshe operation ya kuwasaka hao fisi! Sio kumlaumu rais kwenye mambo kama haya! Mbona maficho ya hawa fisi yanajulikana? Ni utaalam tu wa ku deal na hii mifugopori inahitajika! Raia hatuna huo utaalam au nguvu za kisheria kupambana nao
 

Ina maana yoyote kuwa kuna watoto wadogo wasio na hatia kwa umbali hadi shule iliko waneuwawa njiani na fisi?

Kumbe wewe unachoona ni siasa zenu uchwara CCM huko, hata kwenye mambo nyeti yenye kuhusu maisha ya watoto wadogo wasiokuwa na hatia kama hawa?

Kwamba ni ubinfsi gani huo kutokuwa na huruma na watoto wa wengine kama hao kwa kuwa tu majizi nyie wanenu wanasoma Feza?

Jidanganyeni ila Mungu anawaona.
 
Wewe jamaa ndio mpumbavu kuliko huyo fisi aliekula mtoto,hiki ulichoandika ni bora mzazi wako angepiga punyeto kuliko kuzaa takataka,badala ya kuja solutions ya tatizo unamshambulia mleta hoja,kwa kutetea watawala, hopeless kabisa wewe kima

Ninakazia.
 

Vijana wa hovyo hamna mchango wowote kwa taifa hili. --- JPM.
 
Tatizo hapa sio umbali na shule! Tatizo hapa ni fisi kukaa karibu na makazi ya watu! Ndo maana nkakutolea mfano buzuruga ni mjini kabisa lakin fisi wapo! Maficho ya fisi yapo kwenye miliwa ya mawe kunakuwa kuna mapango! Usichangie kwa mihemko' jifunze kusikiliza au kusoma kwa makini! Kuwa wa kwanza kuchangia sio ujanja
 

Kumbe mleta mada ni wewe na sisi wengine tumefanya kuwahi kuchangia siyo?

Utakuwa una akili za fisi, kama wewe siyo fisi wenyewe haswa!



Fisi wanakosekana je huko?

Mmekalia ma white elephants:

Kujenga daraja kuunganisha Dar es Salaam na Unguja ni upotevu wa fedha za maskini. Tuachane na mpango huu!

Bure kabiisa!
 
So sad kwa kweli...
Je, n8 matokeo ya watu kusogelea maeneo ya Wanyama au wanyama kuvamia makaazi ya watu?
Hili la fisi kanda ya ziwa,ni zaidi ya watu tunavyolichukulia,kuna mambo makubwa sana ya kishirikina yamo humo!!kwa tulioishi kanda ya ziwa tunayajua,hatukatai wanyama sehemu nyingi wanaingia kwenye makazi na kuleta madhara,ila kanda ya ziwa unakuta fisi anakutwa na hirizi ,kibuyu!!kule magu kuna mzee miaka hiyo alibabanishwa na wana nzego hadi alionyesha fisi kama 15 ,amewafuga ndani kwake.Na fisi usimchukulie powa ukiwa pekee yako hata ukiwa bounsa na huna silaha ana kuua.
 
Vijana wa hovyo hamna mchango wowote kwa taifa hili. --- JPM.
sasa mimi na wew nani wa hovyo! Halafu angalia hii id sio leo au jana kama zenu! Muda wa kujielimisha bado unao! Jielimishe, tafuta maarifa, tafuta hela ! Utumbo wa kuku unaokula unakuharibu akili, acha kulia kulia hapa kama kahaba aliedhulumiwa ujira wake!
 

Wa hovyo ni wewe, na unajua hivyo.
 

Hili la ushirikina ni la kitanzania zaidi. Yaani umaskini na backwardness ya hatari. Hapa ni mfano wake:

 
Na hiki mkuu ulichoandika ndicho nnachojaribu kuwaelimisha hawa jamaa! Wanangu wanasoma shule inaitwa kiswaga ipo kisesa magu hapa hapa mjini lkn majira yakibadilika lile giza la saa 12 asbuh! Hatoki mpaka saa mbili ndo wanaenda shule
 
Na hiki mkuu ulichoandika ndicho nnachojaribu kuwaelimisha hawa jamaa! Wanangu wanasoma shule inaitwa kiswaga ipo kisesa magu hapa hapa mjini lkn majira yakibadilika lile giza la saa 12 asbuh! Hatoki mpaka saa mbili ndo wanaenda shule

Hayo yakitokea, kila mtu akiwemo serikali wako busy wanakenua kwamba kuna magoli muhimu sana yanafungwa huku watoto wasio na hatia wakiuliwa kijinga hivi, mwaka wa 62 baada ya uhuru leo? Na bado wewe Magu Hapo unaona ni sawa kabisa? Kwamba huoni kuna tatizo Wala dharura yoyote. Ama kweli staajabu ya Mussa!
 
Magufuli alikuwa rais kwa miaka sita hakuja kuwafukuza au kuwakamata hao fisi mpaka alipokufa kibudu! Oop kizembe' uliwah kumlalamikia au kumshutumu humu jf kama unavyofanya sasa? Au ndo umevunja ungo kwenye hii awamu ndo maana joto na nyege vinakusumbua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…