Magu: Watoto wawili wauawa na fisi wakienda shule

Magu: Watoto wawili wauawa na fisi wakienda shule

Magufuli alikuwa rais kwa miaka sita hakuja kuwafukuza au kuwakamata hao fisi mpaka alipokufa kibudu! Oop kizembe' uliwah kumlalamikia au kumshutumu humu jf kama unavyofanya sasa? Au ndo umevunja ungo kwenye hii awamu ndo maana joto na nyege vinakusumbua?

Wewe unaonekana ni kuku mgeni duniani na kamba yako mguuni. Wewe wala si wa nyege au kuvunja ungo tu. Wewe utakuwa "alien." Umewaacha wazima ulikotoka?

Sang'udi, johnthebaptist, Kulwa Jilala na timu nzima, hebu oneni hii mbuzi inayotapatapa kuvesha wasiohusika utambulisho mnaojivunia?

Sikia ewe GOAT from Neptune - utambulisho wangu mahsusi dhidi ya huyo nduguyo ni huu hapa if you like:

Hotuba ya Rais Magufuli Mei 17, akili za kuambiwa changanya na za kwako

Habari ndiyo hiyo.
 
Mungu alimuumba mwanadamu akamfanya mtawala wa viumbe vyote.
Hata hivyo, kwa sababu ya ujinga na kuweka baadhi ya watu wenye akili ndogo kwenye mamlaka za utawala (kuanzia mtaa/Kijiji hadi taifa), bado watu hupoteza maisha kwa sababu za kipuuzi tu.
Ni lazima raia wahakikishiwe usalama kwa kuweka mipango mizuri ya makazi na kudhibiti wanyama hatari.
 
Wewe unaonekana ni kuku mgeni duniani na kamba yako mguuni. Wewe wala si wa nyege au kuvunja ungo tu. Wewe utakuwa "alien." Umewaacha wazima ulikotoka?

Sang'udi, johnthebaptist, Kulwa Jilala na timu nzima, hebu oneni hii mbuzi inayotapatapa kuvesha wasiohusika utambulisho mnaojivunia?

Sikia ewe GOAT from Neptune - utambulisho wangu mahsusi dhidi ya huyo nduguyo ni huu hapa if you like:

Hotuba ya Rais Magufuli Mei 17, akili za kuambiwa changanya na za kwako

Habari ndiyo hiyo.
hujajib swali we binti! Pamoja na kuita nzi wenzako wa kijani nakuuliza tena haya matukio ya watu kuumizwa au kuuliwa na fisi ni ya mda mrfu mno huku kanda ya ziwa! Je uliwah kushutumu au kulalamikia hyo awamu yenu primitively
 
Fisi anan'gata kichwa cha mtoto na kukimbia huku mtoto ananin'ginia, aisee..
 
Acha kuongea upumbavu, washauri wasukuma waache mambo ya uchawi. Magoli ananunua mamako? Kuna uhusiano gani ndiyo maana mmebaki washamba mpaka leo na mtaendea hivyo km akili zenyewe ni km hizi zako
Fisi kula mtoto ni uchawi?! Hivi wewe una tofauti gani na wale wanaouwa wazee kwasababu wana macho mekundu kwa imani za kishirikina?

Nikadhani huu ujinga upo vijijini tu, kumbe hata mijini upo tena unamiliki smartphones na kuingia JF!.

Kwa hali hii hili taifa halitakaa likombolewe..
 
Ileje fisi hao hawafugwi. Infact hii imani na kusema kuna fisi wanafugwa ndiyo imefanya watu waendelee kuamini imani potofu na hatua hazichukuliwi. Hivi FFU na wanajeshi tulionao wanafanya nini? Wanasubiri vita au kupiga watu tu? Serikali inashindwaje kuchukuwa patuni kadhaa ziende kupiga kambi hayo maeneo ili kuua fisi wote?
Fisi wanafugwa mkuu,kuna jamaa miaka 90-98 huko kahama alikuwa anaitwa lukondya mabiti( kituliza fisi) alikuwa akiwafuga na kuwatumia kwa shughuli sake,Mimi kwa macho yangu nilimshuhudia
 
Fisi kula mtoto ni uchawi?! Hivi wewe una tofauti gani na wale wanaouwa wazee kwasababu wana macho mekundu kwa imani za kishirikina?

Nikadhani huu ujinga upo vijijini tu, kumbe hata mijini upo tena unamiliki smartphones na kuingia JF!.

Kwa hali hii hili taifa halitakaa likombolewe..
Nawe unapanukwa tu domo lako! Jaman eleweni mazingira fisi wanapopatikana huku kanda ya ziwa ni ngumu mno hata kumkuta chatu au kicheche! Ni maeneo watu wanapoishi! Hata ukitembelea ngorongoro au serengeti huwez ona fisi kwenye maeneo ya wazi hivo! Buzuruga, mabatin kuna fisi! Uliona wap hapa dunian jiji lenye wanyama mwitu hazarani na hawapo kwenye cage au zoo? Only mwanza
 
Fisi wanafugwa mkuu,kuna jamaa miaka 90-98 huko kahama alikuwa anaitwa lukondya mabiti( kituliza fisi) alikuwa akiwafuga na kuwatumia kwa shughuli sake,Mimi kwa macho yangu nilimshuhudia
Hata kama wapo wanaofuga lakini hawa wala watu ni mafisi wa porini na wanawindika.
 
Huyo m
Hivi yuko wapi yule Mbunge wa CCM Kishapu aliyekutwa na Bunduki za kuwindia 20 na nyama ya pori tani kumi?

Sasa hawa Fisi wale nini kama hadi vitoewo vyao na tozo zetu na kodi zetu hazipati Amani?
Mbunge wa kishapu Ndio anafuga fisi , Tani 10 za nyama pori unazilaje,huyo mp mchawi wakutupwa
 
Nawe unapanukwa tu domo lako! Jaman eleweni mazingira fisi wanapopatikana huku kanda ya ziwa ni ngumu mno hata kumkuta chatu au kicheche! Ni maeneo watu wanapoishi! Hata ukitembelea ngorongoro au serengeti huwez ona fisi kwenye maeneo ya wazi hivo! Buzuruga, mabatin kuna fisi! Uliona wap hapa dunian jiji lenye wanyama mwitu hazarani na hawapo kwenye cage au zoo? Only mwanza
Anyway, ngoja nijigeuze mjinga kukubali sababu yenu, kwa hiyo nyie mnawajua hao wafuga fisi halafu mnaisubiri serikali iwape msaada huku fisi wakiendelea kutafuna watoto wenu? huu wako nao ni ujinga mwingine.
 
Back
Top Bottom