love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Magufuli ataishi milele..Naomba niwe wa kwanza kunyosha mikono kwamba nimepita huko mitandao mingine nimejionea mabandiko ya huyu mwamba.
Nikaona aibu nikasema ngoja nirudi tu WhatsApp. Wakati nachungulia status, nikakutana tena na mabandiko.
Nimeamua kuzima simu yangu na kulala, hivi huu uzii ndio namalizia kupost ili nimalizie kulala.
Hii siku sio nzuri kwangu kabisa, ni legacy gani yenye nguvu kiasi hiki. Yaani hadi vitoto vinapost status za huyu jamaa.
Utakufa pengine bila kufikisha hiyo miaka 62.Cha muhimu ni kuwa kafa, na taifa linasonga mbele, imara zaidi
Huwa wanakuja kama wametumwa.Ngoja majambazi wale waliozea hela za bure waje wamwage povu hapa.
Tafta cheti halisi.Mnatumia nguvu sana kulazimisha vitu.
Mkuu hawa vibaraka wanakera sana katika nchi yetu matatizo yote tunayopitia leo yamesababishwa na awamu ya nne wale watu walijua kufuja pesa wanakuja kumtukana mtu aliyewasidia kwenye kipindi kigumu kama cha Corona walitaka lock down si wangekufa ila mwamba kakataa huo upuuzi wao ndio maana wana mchukia.Huwa wanakuja kama wametumwa.
Hao huwa na waita mazumbukuku na vichwa panzi.Mkuu hawa vibaraka wanakera sana katika nchi yetu matatizo yote tunayopitia leo yamesababishwa na awamu ya nne wale watu walijua kufuja pesa wanakuja kumtukana mtu aliyewasidia kwenye kipindi kigumu kama cha Corona walitaka lock down si wangekufa ila mwamba kakataa huo upuuzi wao ndio maana wana mchukia.
Fover and ever.Those who touch our lives stay in our hearts forever.
And so is JPM.Fover and ever.
Mungu amrehemu huyu mwamba..JPM, MWAMBA, JIWE, BABA JESKA, CHUMA, BULLDOZER. JABALI LA AFRICA UPUMZIKE KWA SALAMA kuna viumbe wanademka na kuimba Taarabu huku mpaka kufikia Kutangaza kugawa Bandari ya Salama kwa wavaa Viremba
wote tutakufa Ila Kuna watu wakifa lazima taifa lifurahi, huyo mtu wenuUtakufa pengine bila kufikisha hiyo miaka 62.
Nakuponda raha kama alizoponda.
πππCha muhimu ni kuwa kafa, na taifa linasonga mbele, imara zaidi
Unakosa ajira kwa sababu ni incompetent sio sababu ya Magufuli.Kapotezea timing watu ajira miaka 5 mfululizo.
Yeye mwenyewe alikiri hilo.Unakosa ajira kwa sababu ni incompetent sio sababu ya Magufuli.