Uchaguzi 2020 Magufuli akiwa Songwe: Msipomchagua Silinde sileti maji Tunduma

Uchaguzi 2020 Magufuli akiwa Songwe: Msipomchagua Silinde sileti maji Tunduma

daaah! huyu dawa yake ni kutumia vizuri vichinjio vyetu 😠😠.
maana anamaanisha atakuwa rais muhula wa pili while hatumtaki.

✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾✌🏾
 
Aisee!

Kuna sehemu nimeona mtu kaandika wazo juu ya utozaji kodi kwenye majimbo ya aina hii.

Kwamba mfano ikipelekwa hoja bungeni au ufafanuzi mahakamani kuwa majimbo haya 'yaliyotengwa' kwa kuchagua kulingana na mapenzi yao badala ya matakwa ya mtu fulani pia yaondolewe kwenye mfumo wa ukusanyaji kodi wa kawaida na badala yake wajikusanyie kodi zao itakuwaje!?
 
Hivi hizi kauli tume ya uchaguzi inazisikia?Je wamechukua hatua gani?

Chonde chonde watanzania wote, tumpinge huyu mtu kwa nguvu zote. Yaani yeye anaona tayari ameshapita hivyo wenye shida ni wabunge. Kwa hali ninayoina, yeye ndiye mwenye hali ngumu kuliko hao wabunge.
 
Huyu rais mbaguzi sijui hii balaa tulitokana nayo wapi? Hayo ni baadhi tu tunayoyasikia akisema hadharani. Je ambayo hayasemi na wala hatuwezi kuyasikia toka kwake?

Kiwango cha chuki kwa wapinzani kilichopo moyoni mwa Magufuli hakina mfano kama vile hao wapinzani siyo Watanzania
 
Chadema mnadaiwa 2.5billion za miradi ya maji, hatuwezi kuendelea kupoteza pesa za umma kwa kupalilia majizi. Tumbua chadema lete SILINDE ili tuweke maendeleo zaidi. Msema kweli mpenzi wa Mungu, Tunduma wameamua kuokoka, leo wamebatizwa kwa moto na wamepokea upako. Wewe unadai wamefokewa hahahahah tulia ubatizo uzame
Unawaongelea wana Tunduma gani Wa Chato au?
 
Kuna methali ya kiswahili inasema mfupa wa kulazimisha ukivunja chungu. Kwa kila aliyefatilia hotuba ya Dr. Magufuli pale Tunduma atagundua kuwa CCM haikubaliki kama Chadema, mbaya zaidi ni kutokana na mgombea ccm inayomnadi, maana haaminiki tena kwa wananchi wa Tunduma, kwa tabia yake ya usaliti. Ndio maana kwenye kura za maoni ndani ya chama wajumbe walimpiga chini. Sasa Dr. Magufuli analazimisha wananchi wamchague mtu ambaye siyo chague lake. Inawezekana mzee Magu anampango wa kumpa uwaziri au unaibu kama wote wawili watapita maana bado ni kitendawili.

Sasa kwa tabia ile ya kulazimisha wananchi wamchague Silinde itachochea uvunjifu wa amani maana wananchi hawatamchagua, na kwa kuwa yeye anamtaka, itabidi vyombo vya dola vilazimishe kama kawaida, hapo ndio hofu yangu kuwa kunaweza kutokea uvunjifu wa amani.

Mh. Magufuli kama unataka nchi yetu ibaki salama uwe makini kwa kauli zako na pia acha kulazimisha ili wananchi wafanye maamuzi yao.

Maendeleo yanachama kwa mtazamo wa DR Magufuli.

======

DKT. MAGUFULI: MKINICHANGANYIA SILETI MRADI WA MAJI

Dkt. John Magufuli, mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM amesema katika muhula ujao ameshaweka mipango ya kupeleka maji Ireje yaweze kufika Tunduma.

Amesema wakimchanganyia wabunge, yaani wakimchagua mbunge asiye wa CCM basi hatopeleka miradi ya maji Tunduma.

Amesema miaka mitano iliyopita aliwabembeleza na hii ni mara ya mwisho yeye kuwaomba watu wa Tunduma. Amesema hawatishi ila moyo unauma kuona wanamchanganyia.

Amesema ili wapate maji ni lazima wamchague David Silinde, mgombea ubunge wa Tunduma kwa tiketi ya CCM ambaye ni mbunge wa Momba anayemaliza muda wake kwa tiketi ya CHADEMA.
Halafu utamuona yule kinyamkera mahera mwenye rangi ya kenya kakaza uso wa nyani kwa Tundu Lissu. Huu sio udhalilishaji wa taasisi ya Urais? Au kuna maadili zaidi ya haya?
 
Back
Top Bottom