Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Nimeshagundua kuwa Tundulisu sio rais bali ni mwakilishi wa wananchi anaeelezea kero za wananchi kisha Rais Magufuli anazitatua
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mnapenda kuchukua Kodi tu za wananchi, halafu kuwarudishia wananchi maendeleo masherti.upinzani wajibu hoja hizi kwa nguvu.Hatuwezi kuwa na rais mbaguzi hiviCHADEMA mnadaiwa 2.5billion za miradi ya maji, hatuwezi kuendelea kupoteza pesa za umma kwa kupalilia majizi. Tumbua chadema lete SILINDE ili tuweke maendeleo zaidi. Msema kweli mpenzi wa Mungu, Tunduma wameamua kuokoka, leo wamebatizwa kwa moto na wamepokea upako. Wewe unadai wamefokewa hahahahah tulia ubatizo uzame
Mpumbavu mkubwa wewe, kwani mkurugenzi wa Tunduma ni mfanyakazi wa Chadema? Yeye si ndiye alimteua kwenda kifisadi miradi pale.CHADEMA mnadaiwa 2.5billion za miradi ya maji, hatuwezi kuendelea kupoteza pesa za umma kwa kupalilia majizi. Tumbua chadema lete SILINDE ili tuweke maendeleo zaidi. Msema kweli mpenzi wa Mungu, Tunduma wameamua kuokoka, leo wamebatizwa kwa moto na wamepokea upako. Wewe unadai wamefokewa hahahahah tulia ubatizo uzame
Atasema hizo ndo Sera zinazotakiwaDr Mahera ana maoni gani?
Hapa linaongelewa swala la JPM kutopeleka maji kama hawatamchagua Silinde.Kwa nini suala la kuhama chama Chadema wanasumbuka sana wakati CCM ni kawaida tuu? Katika majimbo karibu yote, Mgombea wa Chadema akishinda lazima wana CCM wamepigia kura, sababu CCM ni wengi.
Labda kwa kuwa Lissu kaidindishia TUME .....!!Naona leo kaongea kwa hasira sana sijui wamemvuruga nini?
Huyu jamaa hafai nakwambia!! Mwaka huu niko tayari kupigwa risasi nilinde kura yangu huyu mjinga asiwe raisi tenaHuyu sio Raisi kabisaaa!!!