Uchaguzi 2020 Magufuli akiwa Songwe: Msipomchagua Silinde sileti maji Tunduma

Uchaguzi 2020 Magufuli akiwa Songwe: Msipomchagua Silinde sileti maji Tunduma

Maombi yetu Ni kwa MUNGU baba muweza wa yote

Liponye taifa ili .linusuru eeeh!! Baba .

Mioyo yetu haijatulia ,Haina amani .

Tunayoyaona na kusikia Yana staajabisha Kama sio kusikitisha [emoji30][emoji30][emoji30]
 
Majimbo wanaompa kura ndo choka mbaya; hizo kauli hazina mashiko kwa watu wanaojitambua
 
CHADEMA mnadaiwa 2.5billion za miradi ya maji, hatuwezi kuendelea kupoteza pesa za umma kwa kupalilia majizi. Tumbua chadema lete SILINDE ili tuweke maendeleo zaidi. Msema kweli mpenzi wa Mungu, Tunduma wameamua kuokoka, leo wamebatizwa kwa moto na wamepokea upako. Wewe unadai wamefokewa hahahahah tulia ubatizo uzame

Hivi mwaka 2015 Jiwe aliahidi nini Tunduma?? Yaani miaka yote ya Utawala wa CCM 1961-2020 bado hoja ni MAJI?
 
Bwashee umeshalewa chang'aa c bure
Dr Magufuli amesema ili kuleta maendeleo ya haraka ni lazima wachaguliwe wabunge na madiwani anaoweza kuwawajibisha moja kwa moja ambao wanatoka CCM.

Dr Magufuli amemwombea kura David Silinde na kuwaambia wapiga kura wa Tunduma kuwa hii ni mara ya mwisho kuwaomba kwani amevumilia hadi moyo umeuma.

Source EATV

My take; Ni muhimu kuchagua mafiga matatu ili chungu kikae vizuri

Maendeleo hayana vyama!
 
DKT. MAGUFULI: MKINICHANGANYIA SILETI MRADI WA MAJI

Dkt. John Magufuli, mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM amesema katika muhula ujao ameshaweka mipango ya kupeleka maji Ireje yaweze kufika Tunduma.

Amesema wakimchanganyia wabunge, yaani wakimchagua mbunge asiye wa CCM basi hatopeleka miradi ya maji Tunduma.

Amesema miaka mitano iliyopita aliwabembeleza na hii ni mara ya mwisho yeye kuwaomba watu wa Tunduma. Amesema hawatishi ila moyo unauma kuona wanamchanganyia.

Amesema ili wapate maji ni lazima wamchague David Silinde, mgombea ubunge wa Tunduma kwa tiketi ya CCM ambaye ni mbunge wa Momba anayemaliza muda wake kwa tiketi ya CHADEMA.
Inafikirisha saana....tunerymudi nyuma miaka 30
 
Watuletee hapa jimbo lililo chini ya CCM lenye maendeleo kama ya kutisha. Ambapo hakuna shida za maji,umeme,afya,elimu,miundombinu.

Kama lipo tumpe kura zote..
 
Sasa nini maana ya Uchaguzi ??-- kama Raisi Magufuli ana "blackmail" watu wa Tunduma kwa kupitia maji ambayo ni haki yao kuyapata kama raia wa nchi hii, basi uchaguzi hauna maana.

Na ni dhahiri uchaguzi huu utagubikwa na mizengwe sana.

Ewe Mungu mtukufu tunakuomba utulindie haki na amani ya nchi yetu.
 
Yeye mwenyewe hachaguliwi anataka huyo mwenye nywele shingoni achaguliwe aende wp,
 
Ilani ya chadema haisemi kuleta maji tunduma, wakichagua cdm tutatumia ilani ya cdm kupanga
 
Aache kukusanya kodi ya wakazi wa Tunduma pia. Asiwatolee VITISHO ili wampe kura na pamoja na VITISHO vyake Silinde njeeeee
Kodi itakusanywa na vibanda tutabomoa lami tunabomoa
 
Alishawahi kusema kwamba muda mwingine anakuwa na frustrations zake. Sasa this time naona zimekuwa zaidi.
 
Kodi itakusanywa na vibanda tutabomoa lami tunabomoa
Connect.
Screenshot_2020-10-01-17-36-59-1.jpg
 
CHADEMA mnadaiwa 2.5billion za miradi ya maji, hatuwezi kuendelea kupoteza pesa za umma kwa kupalilia majizi. Tumbua chadema lete SILINDE ili tuweke maendeleo zaidi. Msema kweli mpenzi wa Mungu, Tunduma wameamua kuokoka, leo wamebatizwa kwa moto na wamepokea upako. Wewe unadai wamefokewa hahahahah tulia ubatizo uzame
pepo tokaaa ..
 
Hata Tunduma mnalazimishwa kuuza haki zenu ili mpewe maji yenu ambayo yanatokana na kodi zenu, Rais wa nipe kitu kidogo nami nikupe maji!
 
Back
Top Bottom