Uchaguzi 2020 Magufuli akiwa Songwe: Msipomchagua Silinde sileti maji Tunduma

Uchaguzi 2020 Magufuli akiwa Songwe: Msipomchagua Silinde sileti maji Tunduma

Kulingana na kanuni za uchaguzi mkuu, Magufuli amekosa sifa za kugombea Urais baada ya hilo tamko lake la kibaguzi. Hata waliokuwa makaburu wa Afrika Kusini hawakuwa na sera kama hiyo ya kutowapa maendeleo baadhi ya wananchi waliomnyima kura huku wakitozwa kodi.

Mapinduzi makubwa duniani kote yalikuwa na kaulimbiu iliyosema No taxation without representation (hakuna kutoza kodi bila uwakilishi) Je hii ndiyo anayotaka Magufuli kwa Tanzania?

Taxation without representation describes a populace that is required to pay taxes to a government authority without having any say in that government's policies.
Ni aibu kubwa sana kwa Tanzania
 
Kwa nini suala la kuhama chama Chadema wanasumbuka sana wakati CCM ni kawaida tuu? Katika majimbo karibu yote, Mgombea wa Chadema akishinda lazima wana CCM wamepigia kura, sababu CCM ni wengi.
ccm siyo wengi kuliko wapinzani na watanzania wasio na vyama ambao kwa 99% wanaichukia ccm
 
Aisee!

Kuna sehemu nimeona mtu kaandika wazo juu ya utozaji kodi kwenye majimbo ya aina hii.

Kwamba mfano ikipelekwa hoja bungeni au ufafanuzi mahakamani kuwa majimbo haya 'yaliyotengwa' kwa kuchagua kulingana na mapenzi yao badala ya matakwa ya mtu fulani pia yaondolewe kwenye mfumo wa ukusanyaji kodi wa kawaida na badala yake wajikusanyie kodi zao itakuwaje!?
Hapo ndipo ccm watajua ubaya wa kuwachagulia watu badala ya wao kuchagua chaguo lao
 
maendeleo hayana chama
Utawala tokea chato hauleti maendeleo kama mbunge siyo wa ccm kwa maana ingine hata mlipe kodi zenu watachukua na kwenda kula chato mpaka mchague mbunge wa ccm kwa nguvu
 
Kama hapeleki maendeleo kwa majimbo ya wapinzani wananchi wagome kulipa kodi pia ikiwezekana serikali ishitakiwe kwa kupeleka maendeleo kwa ubaguzi halafu kuna watu wanamfananisha na Nyerere
 
Huyu mtu mbaguzi kweli na wala hajifunzi kutokana na makosa yake, ni wazi akichaguliwa tena ataangamiza watu na vyama vyote vya siasa.
Tume isiyo huru ingekuwa inatenda haki kwa hili ilipaswa wamwandie barua kuripoti kwenye tume ya maadili
 
Kama hapeleki maendeleo kwa majimbo ya wapinzani wananchi wagome kulipa kodi pia ikiwezekana serikali ishitakiwe kwa kupeleka maendeleo kwa ubaguzi halafu kuna watu wanamfananisha na Nyerere
Sasa anachukua kodi za majimbo ya wapinzani kwenda kujengea chato
 
kuna jambo halipo sawa! kuhusu mtoto wa jirani........ ukiwa mlezi unatakiwa kulea wote bila kubagua watoto wa kambo
 
kuna jambo halipo sawa! kuhusu mtoto wa jirani........ ukiwa mlezi unatakiwa kulea wote bila kubagua watoto wa kambo
Kodi kwenye majimbo ya upinzani wanachukua lakini hawataki kupeleka maendeleo huko
 
Damu ya Bujumbura haipotei hivi hivi! Kitwete na Mkapa (Mungu amweke anapostahili) walimfahamu vizuri sana na bado wakaamua kumpa urais alimradi analinda maslahi yao na familia zao (case in point: wake na watoto wa Kikwete wataendelea kupatiwa nafasi za ubunge, mojawapo ya source kuu za ufisadi walizozitengeneza). Ndio maana ninashangaa vijana wanaoshangilia mfumo huu wa CCM na Magufuli. Huu mfumo unahitaji kupumzishwa.
Magufuli anaogopa kutoka ikulu sasa maana anajua Rais ajae atamwondolea kinga na kuishia kuwa mgeni wa mahakamani kama Jacob zuma wa South Africa
 
Hivi huyu mtu wenu mbaguzi mlimtoa wapi nyie akina Jakaya? Sio case ndio maana tunataka serikali za majimbo
Tunduma wanalipa kodi na maji ni lazima ikiwa ni haki ya wapiga kura cha ajabu magufuli kawatishishia kuchukua kodi zao kupeleka chato kisa endapo watamchagua mpinzani
 
Hivi kwanini kila anayekuwa kinyume na mwenyekiti wenu anakuwa msaliti?.

Mule kwenye lile genge lenu, wote wazalendo?. Hakuna chama, chenye watu wanafiki na wasaliti kama ninyi.
ccm yote ni wanafiki
 
Sasa naelewa kwanini wasanii wakimaliza shoo ya bure, kucheza minenguo, wananchi wanarudi kwenye shughuli zao, hawasikilizi hotuba ya mkiti!

Daah! Wapiga kura wamegombezwaah 😀

Gwajiboy angesema kala maharage ya Mbeya!

Everyday is Saturday.................................😎
 
Haleti maji ?, Kwani amekuwa mvua ?

Kwani siku zote walikuwa maji wanayapata wapi? Kama wameweza kuishi miongo yote ya utawala wa ccm bila Maji; watashindwaje hivi leo wanapodanganywa eti wampe kura kibaraka wake in exchange ya kuletewa Maji!!!! Waletee NOAH zao ulizoahidi kwanza kama wewe ni mkweli!!!
 
Back
Top Bottom