Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

Pombe alikuwa Rais mpenda damu za watu!! Kisirani asiyefaa kabisa, Mungu kwa kuipenda kwake Nchi yetu akaamua kutuondolea dudu lile!!!
 
SO WHAT????

HIVI HAMKUBALI KUWA YEYE KAFA??? UJINGA NI MZIGO ZAIDI YA ZIGO LA MAVI
 
You are a gentleman and a scholar!
 
Majizi na majambazi huu uzi utawakera. Ila kwa sasa hakuna jina la kiongozi lenye mvuto na bahati zaid ya jpm.

Si unaona na humu ukianzisha uzi ukaandika jina magufuli basi kila mtu anataka kujua habari zake.

Nb. Wasiompenda jpm wako mitandaoni tu.
Your browser is not able to display this video.
 
Mbona hawajaenda kumjengea chattle kwao machakani alipojenga uwanja wa ndege ambao hauna manufaa yoyote kwa taifa
 
Mait au kaburi zao ziko wapi km unaamini walishakufa?
Vile viroba vilikuwa vinatupwa baharini na mto Ruvu vikiwa na miili ya binadamu hukuwahi kusikia au kuona kwenye vyombo vya habari?
 
Alimuua Ben Saanane, Azory Gwanda, wale 300 wa MKIRU na alimuru Lissu ashambukiwe kwa risasi 16
Hebu weka ushahidi ili tuufanyie Nazi. Vinginevyo nawe utakuwa mhalifu km wahalifu wengine tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…