Magufuli City yaiva huko Dodoma, wasiompenda kuteseka maisha yao yote

TUTAMKUMBUKA DAIMA RAIS WETU WA MIOYO YA WATANZANIA
 
Call whatever names you want who cares anyway? Nani ateseke tena ndugu?, mambo yashaisha hayo tayari, yaani kama ni ugali basi watu washaloweka sufuria tayari !!
 
Umemala
 
Kwa hiyo ndiyo atafufuka? Mbona wajane wa dhalim mnateseka sana?
 
Kuna kitu kigumu unapitia wewe sio bure. Pole Sana.

Alieanzisha uzi kaweka na Vedio ya katibu mkuu akiongelea ujenzi wa barabara za Lami KM51 zikiwa asilimia 70. Afu wewe imasema barabara za vumbi?
 
Wengine watafika mahali kutaka hata kubadili jina la nchi yetu!
 
Ndugu yangu. Punguza ukali wa maneno, utakugharimu siku moja we we! Hebu tupatie huo ushahidi wa mauaji na ukatili alioufanya ili tuuoganaizi na kumkabidhi Mama na vyombo vyake vya dola ili aufanyie kazi. Tafadhali Siku nyingine usirudie, acha utoto kabisa!
 
Kuna kitu kigumu unapitia wewe sio bure. Pole Sana.

Alieanzisha uzi kaweka na Vedio ya katibu mkuu akiongelea ujenzi wa barabara za Lami KM51 zikiwa asilimia 70. Afu wewe imasema barabara za vumbi?
Onyesha hata choo cha shimo tu cha chadema walichojenga siyo kuropoka ty mzee!
 
ha
hata awamu zilizopita waliua
 
Alimuua Ben Saanane, Azory Gwanda, wale 300 wa MKIRU na alimuru Lissu ashambukiwe kwa risasi 16
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…