T - Mobile
Member
- Sep 15, 2021
- 12
- 9
Bora kidogo ni kutafuta saikolojia usiyoitumia NI IDADI ZA BILION6bn inajenga kajengo kamoja tu
17 KM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora kidogo ni kutafuta saikolojia usiyoitumia NI IDADI ZA BILION6bn inajenga kajengo kamoja tu
Sawa leta legacy ya babako tujadili.
Mungu fundi aisee....Mimi
Hii clip nimeangalia hadi nusu Sija ina kitu cha maana
Kumbe siku ukifa utakuwa unapitishiwa upanga kwa maovu uliyoyafanya.Mungu yupo na kila mfanya baya atalipwa hapa kabla hajapotea kwenye umauti na ndivyo Magufuri yaliyomtokea. Roho za watu zimemshtaki naye Bwana mungu wa majeshi akaamua kupitisha upanga wake,sasa kila roho inaishi kwa Amani na uhakika wa kuamka salama salmini. Eeeh mungu asante kwa kumchukua mtesi wa waja wako, asante sanaaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]
Kwani jina ni nini! kindegereko tunasema: What is in a name?! wakati Magufuli mwenyewe yuko Jehanamu analungula!Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.
Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika. Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli City Dodoma.
Hajui kituNdugu yangu Elitweege, Etweege tangu lini ukasikia jiji ndani ya jiji. Na mbona silioni.
Hii biashara Yakuwapamba viongozi ni too much.Mara kiongozi amekonekiti kiongeleo eti anasema anawapenda sana,Panaitwa MTUMBA nadhani ni ushamba wa Jaffo tu halafu bado sana nipo DODOMA hapa
Si walisema Mji wa kiserikaliMwendazake city
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.
Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika. Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli City Dodoma.
Unateseka wewe kumsifia aliyekufa KIBUDUMtateseka mpaka kufa kwenu
Huko makao makuu ya nchi jijini Dodoma kulianzishwa mji wa Magufuli uliotangazwa na waziri wa tamisemi wa wakati huo Seleman Jafo ili kuenzi juhudi za rais Magufuli kwa kuahidi na kukamilisha ahadi ya kuhamishia serikali yote Dodoma ndani ya miaka 5 ya utawala wake.
Sasa mji huo umefikia asilimia 70 ya ujenzi wake na huduma zote muhimu kama barabara,maji na umeme zimeshafika. Bila shaka kukamilika kwa mji huo itakuwa mateso makubwa kwa wasiompenda hayati Magufuli kwani sasa watalazimika kupandia mabasi stendi ya Magufuli, au SGR ya Magufuli au ndege za Magufuli hapa kazi tu na kwenda Magufuli City Dodoma.
Mungu fundiMwendazake city