Uchaguzi 2020 Magufuli kama angesimama na mtu mwingine kwenye kura za maoni asingeshinda kama ilivyokuwa kwa Makonda

Uchaguzi 2020 Magufuli kama angesimama na mtu mwingine kwenye kura za maoni asingeshinda kama ilivyokuwa kwa Makonda

Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.

Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.

Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.

Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.
Kwa kazi alizofanya Magufuli hana mpinzani popote pale.
 
Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.

Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.

Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.

Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.
Uchaguzi wa kigamboni wa ccm umewapa fursa ya kutoa ya moyoni
 
Kwa kazi alizofanya Magufuli hana mpinzani popote pale.
Kazi gani hiyo?
Ya kutokuajiri watu wa kilimo, afya na elimu?
Kazi ya kutokupandisha mishahara kwa miaka 5
Kazi ya kuleta hali ngumu kwa wananchi?
Au kazi hewa na propaganda za vile viwanda hewa 8477 na ajira hewa million 6?.
Angekuwa anajijua kuwa anakubalika asingemtimua Membe aliyetangaza kugombea Urais!
Asingemfanyia Lisu ule uhayawani wa kumpa kesi za uchochezi kila siku
 
Back
Top Bottom