Uchaguzi 2020 Magufuli kama angesimama na mtu mwingine kwenye kura za maoni asingeshinda kama ilivyokuwa kwa Makonda

Uchaguzi 2020 Magufuli kama angesimama na mtu mwingine kwenye kura za maoni asingeshinda kama ilivyokuwa kwa Makonda

Kama kutembea ni kama huko ulikokufanya wewe, mimi sioni haja hata kidogo ya kutembea halafu matokeo yake yanakuwa kuonekana kuwa mjinga.
Tatizo lako wewe ni kilaza wa kutupwa kabisa.
umekosa maono, ni mvivu wa kufanya kazi, ni mvivu wa kufikiri, ni kilaza wa kwanza kuliko vilaza wote Tanzania
 
Wana
Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.

Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.

Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.

Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.
Wanaompimga si wangepiga kura ya nooo?
Ufipa bhana.
Leo kamanda lissu kasemaje? Naona hamna taimu kabisa nae
 
Mkumbuke baadae kabisa majina yanatakiwa yaende kamati kuu, lirudi moja bila kujali uwingi wa kura za maoni ambalo ndio litapeperusha bendera ya chama, Makonda nafasi anayo.
Kama wakifanya hivyo,Jimbo wanachukua wapinzani,Tena ccm wenyeww watapiga kura za chuki,hata jpm alishawahi kusema wakifanya makosa kutowapa wananchi chaguo Lao,kitakachotokea wanakijua
 
Sandali Ali,

Ya Makonda ni ya Makonda na ya Magufuli ni ya Magufuli. Tutampima Magufuli kwenye uchaguzi wa rais ambao unashirikisha watanzania wote ili tuone kama kama anakubalika ama la.

Hivi ingewezekanaje kwa wanakigamboni wamtupe mtoto wao ndugulile wakamchukue Makonda ambae anaonekana kama mhamiaji tu. Hata kwa hizo kura tu alizopata bado ni nyingi sana, na amezipata kutokana na influence aliyonayo.
Uchaguzi mkuu ni kipimo cha kujua kati ya wagombea na wapiga kura nani mjinga .
 
Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.

Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.

Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.

Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.
unasema angesimamishwa na mtu????
Mimi hata angesimamishwa na ibilisi, ningempigia kura kaka ibilisi!
 
Acha dhana potofu,Kinana alipokea msamaha wa chama kwa tabasamu kama lote,mda hauniruhusu kuandika acha kwanza nijiset
Utakaaje kwenye picha bila "tabasamu", au huelewi kusoma picha?
 
Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.

Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.

Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.

Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.
Hata mimi nimeona videos zake ila sijaweza kutuma nope.
 
Na hizo kura alizopata siyo ajabu ndo zikampa back up kubwa ya kurudishwa kwa jina lake. Alipaswa kupata kura 1 au zero kabisa. Hapo ingekua ngumu kwa Kamati Kuu kurudisha jina lake, maana ingeonekana amekataliwa kabisa na wanakigamboni.
watu mnamchukulia chuma poa Msukuma hapendi dharau yule na bashite alichomfanyia ni dharau baba ako anakwambia leo usiende kucheza lisha mifugo haijapita hata masaa unaenda kucheza ukiacha mifugo inashinda njaa alafu akuonee huruma labda sio mzee wa kisukumua Bashite safari yake ya kisiasa imeishia hapa
 
Mkumbuke baadae kabisa majina yanatakiwa yaende kamati kuu, lirudi moja bila kujali uwingi wa kura za maoni ambalo ndio litapeperusha bendera ya chama, Makonda nafasi anayo.
Angalau wewe Una akili makonda anapita kW staili hyo
 
Uko sahihi, margin haikuwa kubwa sana kama mtu ambavyo angelitgemea. Haikuwa mbaya sana! Kwangu mimi bado Kigamboni kuna "takataka" za watu maana haikupashwa kupata kura hizo Makonda!
Pesa ni sabuni ya roho Nadhani umeelewa
 
Sandali Ali,

Ya Makonda ni ya Makonda na ya Magufuli ni ya Magufuli. Tutampima Magufuli kwenye uchaguzi wa rais ambao unashirikisha watanzania wote ili tuone kama kama anakubalika ama la.

Hivi ingewezekanaje kwa wanakigamboni wamtupe mtoto wao ndugulile wakamchukue Makonda ambae anaonekana kama mhamiaji tu. Hata kwa hizo kura tu alizopata bado ni nyingi sana, na amezipata kutokana na influence aliyonayo.
Utampimaje wakati anayeenda kutangaza matokeo kamteua yeye? Ushasahau ya Jecha kule Zenji? Athubutu kuweka tume huru ya uchaguzi aone kilichomnyoa kanga manyoya
 
Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.

Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.

Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.

Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.
Wame peleka hasira zao kwa kumuonyesha kwamba wale alio wanunua na kulazimisha wapeperushe bendera yao Ccm bila kupingwa na dola ihakikishe wana shinda. Sasa wenye chama wamemuonyesha alikosea..
 
Back
Top Bottom