Uchaguzi 2020 Magufuli kama angesimama na mtu mwingine kwenye kura za maoni asingeshinda kama ilivyokuwa kwa Makonda

Uchaguzi 2020 Magufuli kama angesimama na mtu mwingine kwenye kura za maoni asingeshinda kama ilivyokuwa kwa Makonda

Unajaribu kuwa influence watanzania nn juu ya bandiko lako. Wenye akili zao wanakuelewa unachojaribu ku hadaa.

Maisha mliyokuwa mnaishi mwanzo kabla ya Maguful ndiyo mmeyamiss, maisha ya wizi serikalin, maisha ya kufanya anasa kwa kuwa pa kuchotea kupo wazi.

Msiteseke namna hyo, fanyen kaz mpate fedha za kula maisha kihalali.....mtateseka mpka lini?
Ndiyo Magufuli ameziba mianya ya ulaji serikalini. Ni mipango na sera gani alizoziweka ambazo mrithi wake atazifuata na hali haitarudi kama ilivyokua?
 
Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu( a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.

Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperesha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.

Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pakusemea.

Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa
Mwakyembe pia chali
JamiiForums1424539869.jpg
 
Mkumbuke baadae kabisa majina yanatakiwa yaende kamati kuu, lirudi moja bila kujali uwingi wa kura za maoni ambalo ndio litapeperusha bendera ya chama, Makonda nafasi anayo.
 
Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu( a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.

Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperesha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.

Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pakusemea.

Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa

SASA WEWE USIJETUPONZA AKAMRUDISHA MAKONDA BURE! ACHA MARA MOJA, UTAKIWI KUONGEA KWA NGUVU!
 
Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu( a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.

Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperesha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.

Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pakusemea.

Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa
Ukweli mtupu,
Huyu jamaa, hapendwi, anaogopwa,anapewa heshima ya woga tu,
 
Ya makonda ni ya makonda na ya Magufuli ni ya Magufuli. Tutampima magufuli kwenye uchaguzi wa rais ambao unashirikisha watanzania wote ili tuone kama kama anakubalika ama la.

Hivi ingewezekanaje kwa wanakigamboni wamtupe mtoto wao Ndugulile wakamchukue Makonda ambae anaonekana kama mhamiaji tu. Hata kwa hizo kura tu alizopata bado ni nyingi sana, na amezipata kutokana na influence aliyonayo.
Umesema kwa WaTz wote!! Uwazi huo utakuepo?! Kinachozungumzwa hapa ni uwazi
 
Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu( a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.

Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperesha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.

Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pakusemea.

Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa
Hili Lipo wazi kabisa. NDIO maana walishindwa kuweka hata MAMLUKI ajidai kama anamchallenge JPM wakiogopa kuwa Yule MAMLUKI anaweza kushinda.
 
Uko sahihi, margin haikuwa kubwa sana kama mtu ambavyo angelitgemea. Haikuwa mbaya sana! Kwangu mimi bado Kigamboni kuna "takataka" za watu maana haikupashwa kupata kura hizo Makonda!
Kapata nyingi sana
 
Kauli ya Rais ...kwaba yeye na viongozi wakuu wa chama hawajamtuma mtu yeyote kugombea; ni tamaa zao,hasa vijana waliozaliwa 1982. Kauli hiyo ya dakika za mwisho iliwapa wajumbe ujasiri wa kujiamini kufanya maamuzi.
Wajiamini halafu wampe kura zote hizo?
 
Kiherehele kimempoza ukuu wa mkoa na kuteka na kuuwa watu wapi na wapi? Unajipa majukumu hata yasiyokuhusu,Sasa aende chamwino akawe mshauri wa baba yake kwenye Mambo uchumi wa katikati.
Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu( a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.

Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperesha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.

Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pakusemea.

Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa
 
Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu( a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.

Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperesha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.

Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pakusemea.

Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa
Kabisa jiwe hakubaliki ni nguvu tu na propaganda ndizo zinamweka madarakani.
 
Back
Top Bottom