Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Madaraka makubwa aliyonayo kwenye chama na serikali ndio ponepone yake, vinginevyo hata yeye wangemkataa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini haikuwa hivyo awe na washindani? Jibu hili ndugu.Unajaribu kuwa influence watanzania nn juu ya bandiko lako. Wenye akili zao wanakuelewa unachojaribu ku hadaa.
Maisha mliyokuwa mnaishi mwanzo kabla ya Maguful ndiyo mmeyamiss, maisha ya wizi serikalin, maisha ya kufanya anasa kwa kuwa pa kuchotea kupo wazi.
Msiteseke namna hyo, fanyen kaz mpate fedha za kula maisha kihalali, mtateseka mpka lini?
They are inseparableSandali Ali,
Ya makonda ni ya Makonda na ya Magufuli ni ya Magufuli. Tutampima Magufuli kwenye uchaguzi wa rais ambao unashirikisha watanzania wote ili tuone kama kama anakubalika ama la.
Hivi ingewezekanaje kwa wanakigamboni wamtupe mtoto wao ndugulile wakamchukue Makonda ambae anaonekana kama mhamiaji tu. Hata kwa hizo kura tu alizopata bado ni nyingi sana, na amezipata kutokana na influence aliyonayo.
Bashite kuna uwezekano mkubwa kura moja ameunua sio chini ya laki tanoTunaomba katika uchaguzi mkuu kura zihesabiwe kama katika mchakato wa kura za maoni kuwe na media kila Jimbo kura zihesabiwa live. Halafu tuone what will happen.
Hizo kura alizopata Bashite ni kwa kuhonga tu pengine labda na kuwatisha baadhi ya wajumbe. Ila kiukweli watekaji, wapiga watu risasi mchana kweupe, wakandamizaji wa demokrasia nk wamechokwaaaaaaaaaa.
Wewe ndio humpendi ila sisi tunampendaMagufuli hapendwi, sema amekaa mainroad ya maisha ya watu, ndiyo maana watu wanajifanya kumpenda ili wapite, maisha yao yaende.
Kwenye uchaguzi wa haki, Membe au Lissu wanamgaragaza vibaya sana.
Hakuna kushitakiwa hata akiua hadharani.Unajaribu kuwa influence watanzania nn juu ya bandiko lako. Wenye akili zao wanakuelewa unachojaribu ku hadaa.
Maisha mliyokuwa mnaishi mwanzo kabla ya Maguful ndiyo mmeyamiss, maisha ya wizi serikalin, maisha ya kufanya anasa kwa kuwa pa kuchotea kupo wazi.
Msiteseke namna hyo, fanyen kaz mpate fedha za kula maisha kihalali, mtateseka mpka lini?
Unaweweseka mpaka povu linakutoka na litakutoka sana mpaka 2025 utanyokaa tu, wenzako tunachezea teuzi tu maisha yanasongaMagufuli hapendwi, sema amekaa mainroad ya maisha ya watu, ndiyo maana watu wanajifanya kumpenda ili wapite, maisha yao yaende.
Kwenye uchaguzi wa haki, Membe au Lissu wanamgaragaza vibaya sana.
Bashite kuna uwezekano mkubwa kura moja ameunua sio chini ya laki tanoTunaomba katika uchaguzi mkuu kura zihesabiwe kama katika mchakato wa kura za maoni kuwe na media kila Jimbo kura zihesabiwa live. Halafu tuone what will happen.
Hizo kura alizopata Bashite ni kwa kuhonga tu pengine labda na kuwatisha baadhi ya wajumbe. Ila kiukweli watekaji, wapiga watu risasi mchana kweupe, wakandamizaji wa demokrasia nk wamechokwaaaaaaaaaa.
achana nao hawa UVCCM wasiojitambua.Ndiyo Magufuli ameziba mianya ya ulaji serikalini. Ni mipango na sera gani alizoziweka ambazo mrithi wake atazifuata na hali haitarudi kama ilivyokua?
Hata kama atamrudisha, Watanzania washatuma ujumbe wao kuwa baba hapendwi kama vile mtoto wake asivyopendwaMkumbuke baadae kabisa majina yanatakiwa yaende kamati kuu, lirudi moja bila kujali uwingi wa kura za maoni ambalo ndio litapeperusha bendera ya chama, Makonda nafasi anayo.
Kwahiyo kuna possibility hata zile kura za ngumbalu alizopata kule Dodoma juzi wasimamizi aliwaminya ili wasimkate!!!?Madaraka makubwa aliyonayo kwenye chama na serikali ndio ponepone yake, vinginevyo hata yeye wangemkataa.
Kama unaishi mkoa tofauti na ulikozawaliwa jaribu kumtuma mwanao akakae wiki mwezi mmoja aidha kwa wazazi au ndugu wa asili. Baada ya mwezi mtume mke wako amfuate mtoto.Umetumia mizani gani
Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.
Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.
Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.
Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.
Hata Hitler kuna waliokuwa wakimpenda piaWewe ndio humpendi ila sisi tunampenda
Mm,hizi ni chuki,wivu na husuda tu zisizo na maana,ungejua Magufuli anavyopendwa na Watanzania,wala usingeyasema haya.Anyway yupo,and there is nothing you can do about it,pamoja na kumchukia kwako.Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.
Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.
Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.
Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.
Huna hoja, mmesema Lissu atamshinda Magufuli Sasa mnaweweseka Nini tena?Huu Uzi hauna kejeli, matusi wala dhihaka. Huu uzi umebeba ukweli mchungu (a bitter truth) ambao wengi hawaupendi.
Kama Magufuli angesimamishwa na MwanaCCM yeyote imara kuwania tiketi ya kupeperusha bendera ya CCM 2020 katika ngazi ya Urais asingeshinda.
Mioyoni mwa wanaCCM kuna siri na ajenda nzito sema tu hawana pa kusemea.
Hasira za wachache wa Kigamboni wamezipeleka kwa Makonda, ambaye ni mtu wa karibu na Magufuli kwa kipindi kirefu katika utawala wake wa miaka takribani 5 sasa.
Siyo kweli kwamba mgombea urais wa JMT atakuwa JPM peke Yake. Kuna Lissu , membe na CDM mmesema mtashinda shida iko wapi?Hilo hata yeye uncle analijua, ndo maana akazuia kusiwe na mgombea mwingine.
Hivi wewe unajua sana na una intelejensia kubwa kuliko mhusika Magufuli?Mm,hizi ni chuki,wivu na husuda tu zisizo na maana,ungejua Magufuli anavyopendwa na Watanzania,wala usingeyasema haya.Anyway yupo,and there is nothing you can do about it,pamoja na kumchukia kwako.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Hii hiki kimfano ni cha kitoto lakini kina maana kubwa sana, sio rahisi kila mtu akakuelewa, umeni quote kwa haka kafumbo ngoja niishie hapa [emoji1787][emoji1787]Kama unaishi mkoa tofauti na ulikozawaliwa jaribu kumtuma mwanao akakae wiki mwezi mmoja aidha kwa wazazi au ndugu wa asili. Baada ya mwezi mtume mke wako amfuate mtoto.
Ukimwona mtoto kanenepa ujue mtoto ambaye ni wewe unapendwa dhahiri, akirudi amekonda ujue mtoto ambaye ni wewe haupendwi kwenu