Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Elections 2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.

Kama hiyo ndo focus ya Chama na Mnamwamini Mama katika Ubora wake, basi mwambieni Zitto atulize mzuka, endeleeni kumpa nafasi huyo Mghirwa hata asipopata mwaka huu aendelee kujifua mwaka 2020 tukiwa wazima apeperushe bendera ya ACT..., Zitto aache kabisa uroho kusema atagombea urais 2020(AZAMTV) while you have a good president material Mghirwa
 
Tatizo lingine kubwa Makufuli hata kiswahil hakiwezi vizuri.Hajui tofauti ya R na L
raha=laha
a stick kisukuma na apewe mkalimani

hilo naona sio tatizo mana hata mimi sijui tifaut ya R na L katika matamshi ila watu huwa wananielewa. na ingekuwa ni hivyo bas watu wa pwani wangeshika sana nchi ili pia hata nyerere kiswahili kilikua hakipandi vizur
 
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.

Mkuu ingekuwa busara ufunguke kidogo. Tatizo ni kuwa bado tunafikiri kama wasukusu. Kwanini kujua kiingereza iwe ni kigezo cha kuficha aibu, mbona viongozi wa China, Angola, Russia na nyingine wanatumia wakalimani?

Mbona JK hayuko vizuri kwe kiingereza, Kifaransa na hata kwelu lugha ya baadhi ya nchi alizoenda kuomba? did we have any presidential language mishap?
 
Yaani nilisikiza ile clip anayosema -'' I am poritishians... I don't want to take this eehh!!! This time as saying so many poritical words, simple and crear is only I congrugation to you, to the University corumbi.... you... Corumbia University for good assistance we are getting to this hospital.. '' Huyo ni mwalimu wa secondary, na PhD holder. Sipati picha wanafunzi wake..
 
Yaani nilisikiza ile clip anayosema -'' I am poritishians... I don't want to take this eehh!!! This time as saying so many poritical words, simple and crear is only I congrugation to you, to the University corumbi.... you... Corumbia University for good assistance we are getting to this hospital.. '' Huyo ni mwalimu wa secondary, na PhD holder. Sipati picha wanafunzi wake..

Walilishwa matango pori yakutosha.
 
Mkuu ingekuwa busara ufunguke kidogo. Tatizo ni kuwa bado tunafikiri kama wasukusu. Kwanini kujua kiingereza iwe ni kigezo cha kuficha aibu, mbona viongozi wa China, Angola, Russia na nyingine wanatumia wakalimani?

Mbona JK hayuko vizuri kwe kiingereza, Kifaransa na hata kwelu lugha ya baadhi ya nchi alizoenda kuomba? did we have any presidential language mishap?

Nadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.
 
haya matatizo mengine yanatoka na mtu kujiona anajua kila kitu. toka unapo kuwa shule inapelekea kuona aibu kujifunza vitu mfano lugha. Tumemsikia anapokuwa kwenye majukwaa anawasalimia watu kwakutumia lugha ya eneo husika ili ijulikane anajua sana lugha kumbe anakaririshwa.
 
Ze Ze ze Ze dah, niko cmnt ntapigwa ban tu
 
utumwa kazini, kujua kiingereza siku izi imekuwa ndo maarifa hahahahhaa. kama vipi tumwombe Adam simbeyi awe raisi wetu
 
Nadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.

We are heading right down the cliff, God help us please before we become a laughingstock of the world.
 
Kama watu wanataka mgombea mwenye weledi ambaye atatusitiri kimataifa tumchague Mama Anna Mghwira. Vinginevyo tujiandae kuficha nyuso zetu for five years. Inaumiza lakini hiyo ndiyo hali halisi.
Prof baada ya mama what next maana nchi hii ndo is hakuwa shida na Act elimu si Kipaumbele chenu.
 
QUOTE=;14126205]



"I am a politicians". "I dont want to take this time as saying so many political...."

"Simple and clear is only congregations to you.."


"To the University Korindor... , Co... Cor,.. Colimbia univeristy to the assistance we are getting to this hospt"..

Bila shaka huyu jamaa anatamani KIMATUMBI iwe lugha ya kufundishia Tanzania.


Aisee JF hodari wa kuchimbua.
 
Last edited by a moderator:
utumwa kazini, kujua kiingereza siku izi imekuwa ndo maarifa hahahahhaa. kama vipi tumwombe Adam simbeyi awe raisi wetu
Kwahiyo Idd Amini naye alionewa,maana ndiye kiongozi aliyetoa hotuba mbovu zaidi ya kiingereza
duniani mpaka sasa,hii ya Dr Magufuli nadhani imafuatia kwa ubovu.
 
Nadhani tatizo hapa ni zaidi ya kiingereza. Ni suala la weledi na mantiki. Hicho kiingereza ulichokiona ni dalili tu lakini kuna tatizo kubwa zaidi kuhusu uwezo wa kifikra wa viongozi wetu. Lakini kwa kuwa tumeamua kufungia macho ujinga acha twende hivyohivyo kuna siku tutaamka.


Dr taifa hili halita kaa libadilike itatuchukua miaka mingi sana

Wanasiasa wengi mtaji wao wanatumia ujinga Wa wananchi

Wananchi wanapenda ushabiki sana na wapenda mambo ya kiswahili Swahili yasiyo na mantiki

Swala la matumizi ya mipasho na kwenye siasa ni baya sana litatu gharimu sisi na kizazi kijacho

Huyu Vasco da gama ndo alie tuweka sehemu mbaya sana

Kuwa na kiongozi mswahili ni tatizo kubwa sana hapa kwetu
 
Angalieni uhusiano wa mdomo na mikono,, hii yakupikwa 100% Hakuna uwiano wa mdomo na maneno yatokayo mdomoni,,, pia ishara ya uso na mikono havilingani na maongezi ya van mdomoni....
 
Kwahiyo Idd Amini naye alionewa,maana ndiye kiongozi aliyetoa hotuba mbovu zaidi ya kiingereza
duniani mpaka sasa,hii ya Dr Magufuli nadhani imafuatia kwa ubovu.

kutoa hotuba nzuri kwa kiingereza inakusaidia nini, mbona unaendeleza utumwa mkuu kiingereza lugha ya watu na si yetu.

kuishabikia ni mwendelezo wa utumwa, kama mtu ni mtendaji mzuri na ana uwezo wa kutusaidia tumwache kisa hajui kiingereza upuuzi wa hali ya juu.

kuna maarifa na lugha kujua kiingereza haikufanyi kuwa na maarifa mkuu
 
Back
Top Bottom