Uchaguzi 2020 Magufuli(Mlowa): Ubunge sio 'madigrii' ni kipaji kutoka kwa Mungu; mkichagua Wapinzani nitashindwa kuwatumbua wasipofanya kazi

Hakuna anayeweza kuwa rais, mbunge au diwani anayeweza bila dhamana ya chama
Ukimfuta uanachama maana yake jimbo linabaki wazi na tunarudi kwenye uchaguzi!Je,ana uwezo wa kufanya hivyo na kurisk kurudi kwenye uchaguzi?
Amewaona ni wajinga ndio maana anawapa uongo wa kijinga!
Kiufupi JPM hawezi kumtumbua Mbunge,sana sana anachoweza kufanya ni kumfuta uanachama!
 
Hakuna anayeweza kuwa rais, mbunge au diwani anayeweza bila dhamana ya chama
Silinde, Mwambe,Lijuakali na wale madiwani wa Tanga walifukuzwa kwenye vyama vyao lakini waliendelea na nafasi zao za kuchaguliwa
 
Mgombe urais wa chama kilichopo madarakani umewahi kuyasikia mameno haya .You can fool some people sometimes,but you can not fool all the people all the time.Kutoka katika wimno wa Get up Stand up

Get up, stand up, stand up for your rights
Get up, stand up, stand up for your rights
Get up, stand up, stand up for your rights
Get up, stand up, don't give up the fight
Preacher man, don't tell me
Heaven is under the earth
I know you don't know
What life is really worth
It's not all that glitters is gold
'Alf the story has never been told
So now you see the light, eh
Stand up for your rights, come on
Get up, stand up, stand up for your rights
Get up, stand up, don't give up the fight
Get up, stand up, stand up for your rights
Get up, stand up, don't give up the fight
Most people think
Great God will come from the skies
Take away everything
And make everybody feel high
But if you know what life is worth
You will look for yours on earth
And now you see the light
You stand up for your rights, jah
Get up, stand up (Jah, Jah)
Stand up for your rights (oh-hoo)
Get up, stand up (get up, stand up)
Don't give up the fight (life is your right)
Get up, stand up (so we can't give up the fight)
Stand up for your right (Lord, Lord)
Get up, stand up (keep on struggling on)
Don't give up the fight (yeah)
We sick an' tired of-a your ism-skism game
Dyin' 'n' goin' to heaven in-a Jesus' name, Lord
We know when we understand
Almighty God is a living man
You can fool some people sometimes
But you can't fool all the people all the time
So now we see the light (what you gonna do?)
We gonna stand up for our rights (yeah, yeah, yeah)
So you better
Get up, stand up (in the morning, git it up)
Stand up for your rights (stand up for our rights)
Get up, stand up
Don't give up the fight (don't give it up, don't give it up)
Get up, stand up (get up, stand up)
Stand up for your rights (get up, stand up)
Get up, stand up
Don't give up the fight (get up, stand up)
Get up, stand up
Stand up for your rights
Get up, stand up
Don't give up the fight
 
Hapa Mahera kavaa miwani ya mbao, huyu mgombea anaewatisha wapiga kura kwamba atawashughulikia wasipomchagulia awatakao hapa tume mbona Ni kigugumizi
Mungu hamfichi mnafiki siku zote,mahera amwandikie barua ya kujieleza na huyo mgombea wa ccm leo akajieleze aache ujinga
 
Dwa ni moja tu! Kwanza tuanze na yeye mwenyewe tumpige chini october 28, Kisha kama wabunge wake wamejileta kule mjengo, Rais Lissu anachofanya ni kulivunja bunge, kisha tunaitisha uchaguzi wa wabunge upya! Tuone watapitia wapi!
 
Mbunge akifutwa uanachama bado anaendelea kuwa Mbunge?
 
Mbunge akifutwa uanachama bado anaendelea kuwa Mbunge?
Utasemaje nimemfukuza ubunge?Hapo unamfukuza uanachama na akienda mahakamani anaweza akaendelea kubaki na ubunge wa mahakama mpaka muda wake utakapokwisha!
Mwambe alifukuzwa uanachama wa Chadema na barua akaandikiwa spika,ila spika akamuita Mwambe bungeni na kutangaza ni mbunge na aendelee na vikao japokuwa alikuwa na kadi ya uanachama ya CCM!
Hii inamaana kuwa Mbunge hatumbuliwi ila anaweza kufutiwa uanachama wake tu!
Awamu hii pia imetuonesha kuwa Mbunge anaweza kuwa mwanachama wa CCM ila akawa mbunge halali kwa tiketi ya Chadema!!!!
 
Jamani mshaurini mgombea wetu wa CCM ajizuie kutoa kauli tata. Ukweli ni kwamba Rais hana uwezo wa kutumbua mbunge, hata wa CCM maana wabunge wako chini ya mhimili mwingine.
Hata mie nimeshangaa yaani keshachanganyikiwa mpaka anadanganya watu kuwa anaweza kutumbua Mbunge? kweli Lissu ni habari nyingine kamfanya Magufuli Network ikate kabisa.
 
DALILI za kuanza kukata pumzi , leo maenseleo hayana chama , kesho msinileteee wabunge wa upinzani sitatoa pesa za maendelea
 
Wengiiii na sasa ni anaingia kwa wabunge na madiwani
Hatua kwa hatua
Mi nauliza madiwani uliosema eti anaweza kuwatumbua kwa miaka mitano katumbua wangapi?
 
Atawatumbua kwa sheria gani?
Waliochaguliwa na wananchi rais hana mamlaka ya kutumbua
 
Wenye Dodoma yao wanashukuru wamefikiwa na miundombinu na huduma nyingi wakati wa Magufuli Magufuli

Miundombinu??yaan ukitoka tu nje ya mji kdogo tu utaoga vumbi mpka uchanganyikiwe.
 
Katika watu ambao ni wa hovyo hapa nchini ni pamoja na Wagogo.

Kipaji hicho yeye anacho??
 
Miundombinu??yaan ukitoka tu nje ya mji kdogo tu utaoga vumbi mpka uchanganyikiwe.
Ulitaka ijengwe kwa siku, au wiki moja au mwezi au mwaka moja tuu eeeh
Wewe nyumba yako umeijenga kwa muda gani??? Kama umeshamaliza ujenzi
 
Anataka wabunge wa ccm ili hata akishindwa akatangazwa kwa nguvu, hao hao wabunge wake waseme bungeni aongezewe miaka mingine 10 na katiba inabadilishwa fasta kwa ndiyooooo..
 
Kumbe ubunge ni kipaji, basi na urais ni kipaji, tena kipaji kajaaliwa Lissu aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…