ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,856
Kwa kiherehere hichi lazima utakuwa ni Jane pevu wewe sio mjaneLissu anapenda fujo sana. Hivi kwann asingeenda kesho ili kusubiri Rais amalize shughuli ya kitaifa kwanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kiherehere hichi lazima utakuwa ni Jane pevu wewe sio mjaneLissu anapenda fujo sana. Hivi kwann asingeenda kesho ili kusubiri Rais amalize shughuli ya kitaifa kwanza?
Magufuli asitufanye wajinga sana, anatumia mbinu ya kufanya kazi za serikali ili kuhalalisha matumizi ya fedha anazochota hazina. Ni kwamba msafara wake wote utatumia fedha za serikali kwa mafuta ya magari na posho za wote alioambatana nao.Shida iliyopo ni rais kuwa pia mgombea.
Leo kabaki Kigoma kuzindua jengo la Mahakama Kama rais wa nchi sio Kama mgombea hivyo NEC hawahusiki na mambo ya ratiba ya rais.
Ingawa ratiba ya uzinduzi itaisha mapema Sana.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Kasome kwanza ratiba ya NEC halafu urudiLissu anapenda fujo sana. Hivi kwann asingeenda kesho ili kusubiri Rais amalize shughuli ya kitaifa kwanza?
"Ratiba ya NEC iheshimiwe"Hii kama siyo fujo ni nini.
Ratiba ya NEC inasoma Lissu atakuwa Kigoma,Magufuli ndiye kaingilia kalazimisha kubaki Kigoma,
Kabaki kupokea wageni na kuzindua jengo la mahakama tangu lini wageni wakapokewa uwanja wa mpira na tangu lini jengo la mahakama likazinduliwa uwanja wa mpira.
Ni kweli kila mtu aendelee na ratiba yake. Ila naamini Lissu katika kampeni zake ataondokana na uzushi kuwa Rais Magifuli ameharibu uhusiano wa kimataifa na hata nchi za jirani. Leo Rais wa Burundi kaja. Hivi karibuni Uhuru na Kagame wamekuja Tanzania, tena Chato.Kila mtu aachwe afanye mambo yake hakuna habari za kuingiliana.
Lissu apige kampeni na Magu ampokee mgeni wake.
Hatuko kweny masuala ya kiserikali,ss iv n kampeni na ratiba inamtaka lisu awepo kigoma,huyo alieingilia shughuli za watu avurumishwe na maweLissu anapenda fujo sana. Hivi kwann asingeenda kesho ili kusubiri Rais amalize shughuli ya kitaifa kwanza?
CCM akili zao zipo LikizoKwa mjibu wa ratiba Tundu Lissu atakuwa na kampeni Kigoma mjini leo jioni katika maeneo ya Mwanga center. Wakati huohuo Mh Magufuli atakuwa Lake Tanganyika, atakuwa na rais wa Burundi ambaye amealikwa katika uzinduzi wa jengo la mahakama.
Hofu yangu ni, je, CHADEMA wataruhusiwa kufanya maandalizi mazuri kwa kumpokea mgombea wao wa uraisi? Police wajipange kukabiliana na vurugu zinazoweza kutokea kwa mashabiki Hawa wa vyama.
Jane my love [emoji7]Lissu anapenda fujo sana. Hivi kwann asingeenda kesho ili kusubiri Rais amalize shughuli ya kitaifa kwanza?
Umeongea kinyonge sana. Nini kimekukuta huko?Lissu anapenda fujo sana. Hivi kwann asingeenda kesho ili kusubiri Rais amalize shughuli ya kitaifa kwanza?
Kwani yeye ndiye anayejipangia ratiba? Tume ya uchaguzi ilipanga leo Tundu Lissu afanye kampeni mkoani Kigoma. Sasa ni yeye au huyo aliyemualika rais wa nchi jirani ndiye aliyeingilia ratiba?Tundu Lisu itabidi apishe shughuli ya kitaifa kwanza.
Yeye aendelee ni mkutano wake kesho maana hawezi kuingilia shughuli mahsusi ya mkuu wa nchi ambaye tayari yuko Kigoma!
Mpenzio nilijua atakuwa na akili baada ya kusomeshwa shule zenye weredi mkubwa kumbe bure kabisa. Angalia hoja zake 🚮Jane my love [emoji7]
Ilipaswa wagombea urais wenye ushawishi mkubwa wasiwepo mkoa mmoja kabisa.Magu ataaibika jioni hii.
Leo umetinga zile kufuri za chama?.Lissu anapenda fujo sana. Hivi kwann asingeenda kesho ili kusubiri Rais amalize shughuli ya kitaifa kwanza?
Mkuu kuna vitu vingine ni sawa na matapishi ya akili kwamba hata mtoto mdogo anajua kabisa kuwa haya ni matapishi. Alafu mbaya zaidi unakuta mtu anasema eti Lissu asimamishe kampeni leo mpaka kesho huku akijua kabisa ratiba inapangwa na Tume ya uchaguzi.Hii kama siyo fujo ni nini.
Ratiba ya NEC inasoma Lissu atakuwa Kigoma,Magufuli ndiye kaingilia kalazimisha kubaki Kigoma,
Kabaki kupokea wageni na kuzindua jengo la mahakama tangu lini wageni wakapokewa uwanja wa mpira na tangu lini jengo la mahakama likazinduliwa uwanja wa mpira.