mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Sijui hawa Mataga pamoja na Ayoub Rioba wa TBC watakuelewa?Wanaosema Magufuli Shujaa wa Afrika Waorodheshe Mambo Makubwa Aliyoifanyia Africa Hata Uenyekiti wa AU hakuwahi kupata
Mikutano ya AU sijui kama alihudhuria Huo USHUJAA ni Wa NINI?