Magufuli siyo shujaa wa Afrika, Kikwete ni shujaa wa Afrika

Magufuli siyo shujaa wa Afrika, Kikwete ni shujaa wa Afrika

Wapigania uhuru ni mashujaa wa Afrika lakini kabla yao ukisoma historia walikuwepo pia mashujaa wengine wa Afrika na miaka inavyokwenda tutapata mashujaa wengine ikiwemo wasaka amani na wapatanishi, watafiti, wanamichezo, wanadiplomasia, majenerali wa kijeshi, wanamuziki n.k.

Ushujaa hauna monopoly ya mtu mmoja au kizazi kimoja!
Hoja yangu: Kikwete hana sifa ya kuwa hata shujaa wa Tanzania sembuse Afrika! Hayo mengine ni ''kiswahili murefu tu''
 
Amongst all his predecessors JPM stands out as the most legendary president who toiled his blood for Africans to benefit from its natural wealthy and resources and that one alone made him a lot of ensmies , he nullified the mangungo wa msovero contracts dwn from those who took us for a ride with our tanzanite , diamonds all the way to the mighty geita gold mining !he dared the imperialist without fear , he held a knife on their neck atleast by now we can breath and have a little share , with that alone he outshines many black silly president who sell their countries to those who enslaved us , viva JPM a hero whose shadow never goes dim , rest peace chuma
Idiot
 
Africa has so many Heroes but Kikwete is not among those Shujaa. He is just another very corrupt government official.
Ila watanzania bwana Kikwete shujaa wa Africa? Rais anaulizwa kwa nini nchi yako ina rasilimali nyingi lakini ni masikini anajibu HATA MIMI SIJUI. kazi yake ilikuwa kama VASCO DAGAMA hapa kuna ushujaa wowote,naomba sana tuelewane kwamba ushujaa haujawahi kuwa mwepesi kiasi hicho.
 
Kwenye HAKI hakuna UPOFU siku zote kumbuka hivyo. Bomoa bomoa, kudhulumu Wakulima, Wafanyabishara na Wafanyakazi halafu umuone dhalimu magufuli si dhalimu? Huyo atakuwa ana matatizo ya akili Mirembe KUNAMUHUSU!
Kumbuka mapenzi ni upofu mpwa....waliofaidika na udhalimu wake wanamuona shujaa na walio athirika na udhalimu wanamuona shetani.....ubaya au uzuri wa mtu inategemea unamtazama kupitia angle gani....??
 
Ila watanzania bwana Kikwete shujaa wa Africa? Rais anaulizwa kwa nini nchi yako ina rasilimali nyingi lakini ni masikini anajibu HATA MIMI SIJUI. kazi yake ilikuwa kama VASCO DAGAMA hapa kuna ushujaa wowote,naomba sana tuelewane kwamba ushujaa haujawahi kuwa mwepesi kiasi hicho.
Tofautisha figurative speech, rhetoric na factual statement.

Hiyo statenent ya "I don't know" inaweza kumaanisha "There is no reason to be that way", ila wewe umekariri kuwa I don't know lazima imaanishe "Sijui"
 
Mzee wa watu kashafariki,mpumzisheni basi..inaonekana huyu mzee aliwafanya kitu mbaya sana..hadi leo hii bado mwamuwaza tu
 
Siku hizi ushujaa umekuwa kama ugali... kila mtu anapewa? Ati nini? Kikwete shujaa wa Afrika? Unafikiri kuitwa shujaa wa Afrika ni sawa na kunyoa denge?

Mtu kama Nyerere ndiye alikuwa mmoja wa mashujaa wa Afrika. Kina Nelson Mandela, Patrice Lumumba etc. Walikuwa na maono na mawazo ya hali ya juu. Sasa kama ushujaa wa Afrika utapimwa hizi petty issues ulizoorodhesha kuna rais ambaye hatakuwa shujaa? Mashujaa hawapatikani kirahisi hivyo acha kudhalilisha ushujaa.
Ila bado kwako Magufuli ni shujaa wa Africa..
 
Ila bado kwako Magufuli ni shujaa
Nimeandika wapi Magufuli ni shujaa? Jamani someni na kuelewa comment kabla ya kujibu. Ile ile hali ya kukariri kuwa usipokuwa Simba basi ni Yanga! Nimeandika hivi: ''Siku hizi ushujaa umekuwa kama ugali... kila mtu anapewa? Ati nini? Kikwete shujaa wa Afrika? Unafikiri kuitwa shujaa wa Afrika ni sawa na kunyoa denge?
Mtu kama Nyerere ndiye alikuwa mmoja wa mashujaa wa Afrika. Kina Nelson Mandela, Patrice Lumumba etc. Walikuwa na maono na mawazo ya hali ya juu. Sasa kama ushujaa wa Afrika utapimwa hizi petty issues ulizoorodhesha kuna rais ambaye hatakuwa shujaa? Mashujaa hawapatikani kirahisi hivyo acha kudhalilisha ushujaa.''
 
Inawezekana ushujaa wa mtu unachukua muda kuonekana.....usije kushangaa miaka ijayo Magufuli akatangazwa baba wa taifa.....!!!
Hii itaendelea kuwa ndoto.... Nyerere kalifanyia mambo makubwa sana taifa hili na ndomana mpk leo tuna nyerere day na si magufuli day
 
Kutoka kuwa rais dhaifu Tanzania hadi kuwa shujaa wa afrika, hii yote inasababishwa na kuendelea kuwa na chuki kwa mtu ambaye ameshajifia zake matokeo yake unajitesa tu mwenyewe.
 
Nikichogundua kwenye msiba wa Magufuli ni kwamba maadui wa JPM hadi leo hawaamini mtu waliemchukia anaweza kuombolezwa na kuliliwa na watu wengi kiasi kile ndani na nje ya nchi hususa ni Afrika.

Waafrika wengi walipenda staili yake ya uongozi ya kukemea mambo ya ovyo hadharani bila kumuonea mtu aibu. Alikuwa ni mtu mwenye maamuzi na alichukia watu wazembe, Wala rushwa, mafisadi na wahujumu uchumi. Ilifikia hatua hadi Wakenya wanaomba wamuazime Magufuli kwa mwezi mmoja tu ili apambane na ufisadi.

Jina la Magufuli haliwezi kuisha midomoni mwa watu ukizingatia alama alizoacha kwa mengi aliyofanya kwa miaka mitano pekee achilia kazi ya ujenzi wa miundo mbinu aliyofanya kwa miaka 20 akiwa waziri wa ujenzi.
 
Mnageukana nyie kwa nyie , je kikwete ni shujaa au sio shujaa wa Africa?
 
Kutoka kuwa rais dhaifu Tanzania hadi kuwa shujaa wa afrika, hii yote inasababishwa na kuendelea kuwa na chuki kwa mtu ambaye ameshajifia zake matokeo yake unajitesa tu mwenyewe.
Dhaifu ni kauli ya kisiasa tu. Kuitwa dhaifu hakumfanyi asiye dhaifu awe dhaifu.

Dhaifu anawatwanga M23? , Anasuluhusha mgogoro Kenya watu wasichinjane? , anarudisha amani Madagascar? , Anampiga muasi huko Anjuan Comoro?, Dhaifu anamuonyesha advertise Kagame kwa kumrudishia wahamiaji wake kwake?, Dhaifu anamrudisha Nkurunzinza madarakani kijeshi?
 
Back
Top Bottom