Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,168
- 1,549
Taka taka hii kuzaa kwa Nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuwahi kumwita Kikwete dhaifu wala kumuona ni shujaa ila waliyomuona Kikwete dhaifu na walikuwa wanatoa sababu kwa kuangalia hali ya nchi kutokana na uongozi wake, sasa hao watu ndio wanao kushangaa humu na kupinga huko kumwita JK ni shujaa tena wa afrika.Dhaifu ni kauli ya kisiasa tu. Kuitwa dhaifu hakumfanyi asiye dhaifu awe dhaifu.
Dhaifu anawatwanga M23? , Anasuluhusha mgogoro Kenya watu wasichinjane? , anarudisha amani Madagascar? , Anampiga muasi huko Anjuan Comoro?, Dhaifu anamuonyesha advertise Kagame kwa kumrudishia wahamiaji wake kwake?, Dhaifu anamrudisha Nkurunzinza madarakani kijeshi?
Kalinganishwa JK na JPM kwa waliyofanya Africa, sio JN. Kulingana na mleta mada JK inaonekana kafanya zaidi ya JPM inapokuja suala la Africa.Kikwete pia si shujaa wa Africa kwa lipi hasa? Shujaa wa Africa ni Baba wa Taifa pekee yake.
Vijana wa lumumba wanapita kimya kimya hapa ...Mnalazimisha tu mambo yasiyokuwa na kichwa wala miguu.
Vijana wa lumumba ya chato mnapita kimyakimya hapaMnalazimisha tu mambo yasiyokuwa na kichwa wala miguu.
Wanajua sana sema tu wako insecure, wanadhani kumsifu mtu mwingine ni kumshusha Nyerere kitu ambacho siyo lengo la mada hii!Kalinganishwa JK na JPM kwa waliyofanya Africa, sio JN. Kulingana na mleta mada JK inaonekana kafanya zaidi ya JPM inapokuja suala la Africa.
you have misspelled,Crap
Alipokuwa akienda anazungukwa na maraisi wa Afrika..mpaka wadhungu wanauliza kwani huyu JPM ana nini?!Magufuli hata mikutano ya AU alikuwa haendi, Mikutano ya SADC nayo alikuwa akihudhuria kwa manati. Sasa mtu kama huyu ambaye hata kukutana na wenzie kujadili mambo ya Afrika alikuwa anaona tabu ni shujaa wa namna gani wa Afrika?
I mean CRAP!!!!!!!you have misspelled,
You should have written "clap"
Its CRAP totally Crapyou have misspelled,
You should have written "clap"
No you mean clap.Its CRAP totally Crap
Clap means Venereal Disease especially Gonorrhoea! I just mean Crap = uselessNo you mean clap.
I think you need a spelling tuition because you keep on misspelling all the time.
I think you are not sure what you meanClap means Venereal Disease especially Gonorrhoea! I just mean Crap = useless
Kid behave!I think you are not sure what you mean
Go back and learn english again, Ras Simba can do a fantastic job