Magufuli siyo shujaa wa Afrika, Kikwete ni shujaa wa Afrika

Magufuli siyo shujaa wa Afrika, Kikwete ni shujaa wa Afrika

Nilipokuwa nafuatilia msiba wa Magufuli, kwenye Television ya Taifa TBC, walikuwa wameweka maneno kumhusu Magufuli kuwa ni Shujaa wa Afrika lakini nikawa navuta fikra. Je, ushujaa wa Magufuli kwa Afrika ni upi?, Nikasema pengine ni kwa "Rhetoric" zake za kutukana Wazungu na kuwaita Mabeberu, lakini Mabeberu hao walipokuwa wakikohoa tu, mzee mzima anagwaya na anatii.

Kiufupi Magufuli alikuwa akiogopa sana Kibinyo cha Wazungu kuliko kelele za raia wake wenyewe. Tuliona kwa mfano “Mabeberu" wakimwambia abadilishe sheria za takwimu na akatii, Walimwambia aruhusu watoto wajawazito waendelee na masomo akabadili mwelekeo. "Mabeberu" ndiyo walioingilia kati Lissu apewe safe passage kurudi Ulaya na serikali ya Magufuli ikampa na passport kabisa, la sivyo habari leo hii ingeukwa nyingine!.

Mfano mwingine ni kwenye Makubaliano na Barick kuhusu mustakbali wa kampuni hiyo juu ya uchimbaji madini nchini, Kabla ya makubaliano hayo Serikali ya Magufuli ilipeleka muswada chapuchapu bungeni juu ya rasilamli zetu, na mle ndani sheria iliyotengenezwa ikasema Makinikia yatakuwa yanachenjuliwa hapahapa Tanzania, Lakini cha ajabu kwenye makubaliano na Barick mwaka mmoja au miwili baadae akavunja sheria yake mwenyewe, kwa kuruhusu makinikia yawe yanasafirishwa nje!. Sasa hiyo hype ya kuwa alipambana na Mabeberu inatoka wapi?

Najiuliza ushujaa wa Magufuli kwa Afrika ni upi wakati dalili zote za aina ya uongozi wake ilikuwa ni kutaka kuturudisha kwenye Afrika ya kale ambapo mtawala akiongea hakuna wa kuquestion la sivyo utakiona cha mtema kuni. Kiufupi Magufuli aliparalyse mifumo ambayo ingeijenga nchi kusimama kitaasisi na badala yake akaanza kutunga sheria na kufanya matendo ambayo yanazidi kumlibikizia yeye madaraka, chukulia mfano sheria ya rasilimali za Taifa, Hiyo sheria ilienda kuweka madini yote chini ya ofisi ya rais

Kwa kweli nikiangalia kitu chochote exclusive ambacho Magufuli amefanya kwa ajili ya Afrika nzima ni kama hakuna!

Lakini hii ni tofauti na Mstaafu Kikwete, Kikwete kuna mambo aliyafanya naweza kusema bila wasiwasi na kwa rekodi kuwa huyu mwana wa Afrika anastahili kupewa heshima yake na Afrika nzima

1. Kikwete alishiriki katika Usuluhishi wa Kenya
Baada ya uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka 2007,wakati Wakenya wakichinjana na kuhasimiana kitu kilichohatarisha kuzuka kwa vita ya wenyewe kwa Wenyewe, Rais Kikwete aliingilia kati kusuluhisha kambi hasimu za Raila Odinga na Mwai Kibaki, Pamoja na Juhudi za Kikwete pia walikuwepo marais wastaafu wa Afrika akiwemo hayati Mkapa. Ni kutokana na kazi hii Nchi ya Kenya ilimpa heshima ndugu Kikwete kuhutubia mabunge mawili ya Kenya, heshima ambayo ilikuwa hajawahi kupewa rais yeyote wa Tanzania kabla yake. Pia kwa kutambua kazi ya kikwete kwenye kuleta amani Kenya, barabara moja nchini Kenya , jijini nairobi ilibadilishwa na kupewa jina lake

2. Kikwete ainusuru Comoro dhidi ya kikosi cha Wahuni cha kanali Bacar
Wakati Comoro ikiwa inaelekea katika mtanzuko wa machafuko baada ya kikosi cha Muasi Kanali Bacar kuasi, Ni dhahiri visiwa hivi vya Comoro vingekuwa katika machafuko makubwa ikiwemo umwagaji damu, Ilikuwa ni Intervention ya Rais Kikwete kupeleka jeshi letu la JWTZ kwenda kuweka mambo sawa. JWTZ walipiga kazi nzuri na ndani ya wiki moja nchi ile ikawa imeshakuwa stabilized. Je ni watu wangap wangeuawa kama si kwa intervention ya Tanznaia, Ni wanawake wangapi wangebakwa?.Ikumbukwe siyo JK wa kwanza kuisapoti Comoro kijeshi, Hata mwalimu Nyerere amewahi kuisaidia Comoro ili kupambana na wakoloni wa ufaransa.

3. Kikwete ainusuru Congo dhidi ya Wahuni wa M23
Hawa wanayarwanda walikuwa wakiiba mali, kuua watu congo, Ni mpaka Viongozi wenye maono kama Kikwete waliojitolea kuendesha mission ya UN ya kuwadhibiti hao waasi. JWTZ kwa kushirikiana na majeshi ya Afrika ya kusini na Malawi walifanya kazi nzuri sana ya kuwadhibiti hao akina Jenerali Nkunda. Bila shaka ukiwauliza watu wa mashariki ya Congo kuhusu Intervention hiyo ya Kikwete, watakwambia huyu mtu ni shujaa wao

4. Usuluhishi wa Mgogoro Madagascar
Hali ya Madagascar ilikuwa imeshakuwa tete, magonvi na kupinduana kukiwa kumeiweka ile nchi katika hali ya sintofahamu, hali ya hofu mitaani. Ilikuwa ni kazi nzuri ya Kikwete kutafuta usuluhishi wa kisiasa huko

Maandiko yanasema heri wapatanishi!

Nikimpima Kikwete na Magufuli katika kutafuta ustawi wa bara la afrika, ikiwemo usuluhishi na upatanaishi, kutafuta amani ya watu wake, Kwa kweli Kikwete aliifanyia makubwa Afrika. Huyu anafaa kuitwa shujaa wa Afrika katika viongozi wa rika la hivi karibuni.

Magufuli yeye ni shujaa wa Afrika katika lipi?
Wote hao ni majizi tu
 
Ila watanzania bwana Kikwete shujaa wa Africa? Rais anaulizwa kwa nini nchi yako ina rasilimali nyingi lakini ni masikini anajibu HATA MIMI SIJUI. kazi yake ilikuwa kama VASCO DAGAMA hapa kuna ushujaa wowote,naomba sana tuelewane kwamba ushujaa haujawahi kuwa mwepesi kiasi hicho.
Usimfananishe Vasco Da Gama na vitu vya kipumbavu.
 
Tofautisha figurative speech, rhetoric na factual statement.

Hiyo statenent ya "I don't know" inaweza kumaanisha "There is no reason to be that way", ila wewe umekariri kuwa I don't know lazima imaanishe "Sijui"
Trying to force your own interpretation be common to all of us
 
Itachukua miaka mingi sana Magufuli kuaacha kuwatandika wana chadema
 
Itachukua miaka mingi sana Magufuli kuaacha kuwatandika wana chadema
Hivi karibuni imezuka tabia ya kukwepa majukumu ambayo inapaswa kupingwa kwa hali na mali ndani ya nchi yetu.

Vyama vya upinzani hasa CHADEMA kila wanapopata matatizo kisingizio chao ni hayati rais Magufuli,!

CHADEMA wamesambaza mitandaoni vijana wa kumtetea Mbowe.

Kazi yao ni kuwapumbaza wanachama na wananchi kwa ujumla waone tatizo la CHADEMA ni Magufuli wakati Magufuli hayupo na hakuwahi kuongoza chadema . Kila uzi humu JamiiForums lazima vijana wa Mbowe wataje na kutukana mwendazake!

Mwenyekiti na aliyekabidhiwa usukani wa kuiongoza CHADEMA ni Mbowe lakini hawataki aulizwe chochote.!!!

Kutokana na CHADEMA kufa kila mahali kwa kupoteza mvuto na kukimbiwa na madiwani na wabunge ,viongozi wamebuni mbinu ya kukwepa aibu hii kwa kujificha kwa hayati rais Magufuli!

Viongozi wa CHADEMA wakihojiwa kwa nini chama hakina ofisi watakujibu tatizo ni Magufuli.

Tundu Lissu akiulizwa kuwa yeye ni makamu mwenyekiti wa CHADEMA lakini kwa nini hafanyi kazi za Chadema? Bavichaa watakujibu chanzo ni Magufuli!

Bavicha ukiwauliza kwa nini kamati kuu ya CHADEMA wanafanyia vikao vyao kwenye hoteli za kitalii na kuacha ukumbi wa ufipa ? Utajibiwa tatizo ni hayati Magufuli!

CHADEMA wakiulizwa kwa nini kwenye uchaguzi mliwatosa makada wenu waliokipigania chama, mkabadili gia angani na kutuletea mgombea urais ambaye yupo kwenye list of shame (orodha ya chadema ya mafisadi wakuu wa nchi )? Utajibiwa tatizo ni mwendazake!

BAVICHA na vijana wote mliosambazwa mitandaoni kumtetea Mbowe ,tambueni anayepaswa kuulizwa kuhusiana na mabaya na mazuri ya CHADEMA ni Mbowe na Tundu Lissu hao ndio viongozi wenu mliowapa ridhaa ya kuwaongoza kwa sasa.

Hayati Rais Magufuli hakuwahi kuwa kiongozi wa chadema ,hivyo kukaa mnamhusisha na kuporomoka kwa chama chenu ni kupoteza muda na kuonyesha uzwazwa wa hali ya juu.

Kuporomoka kwa CCM wataulizwa Samia na Chongolo na lazima watoe majibu kwa sababu wao ndiyo viongozi wa CCM kwa sasa.

Kwanini nyinyi hamtaki kupata majibu kwa Mbowe badala yake mnataka majibu yatoke kwa Magufuli?
 
KIKWETE BABA LAO. Anayebisha na aseme. Hana kiburi, kinyongo, kisasi wala hasira. Ni mtu ambaye si mchoyo kabisa na mwepesi wa kutoa na asiye na maneno makali na ya masimango.

Ni moja kati ya watu wa kipekee sana na ni mfano wa kuigwa kwa viongozi wote. MUNGU ampe maisha marefu. Amina.
Doctor Ulimboka sijui kwanini anabisha hizo sifa.
 
Cheo cha 'Ushujaa wa Afrika' kina vigezo muhimu sana walioingia ni kama kumi hivi akiwemo Hayati Mwalimu Nyerere

Kwangu Mimi binafsi namuona Mzee Jakaya Kikwete kama ni mmoja wa Maraisi wapenda Demokrasia katika Bara la Afrika.
 
Kikwete pia si shujaa wa Africa kwa lipi hasa? Shujaa wa Africa ni Baba wa Taifa pekee yake.
Shujaa wa Africa ni tundu lisu ambaye ameteuliwa kuwa kiongozi wa shogas barani africa na ulaya.
 
Nyerere ndiye shujaa wa Afrika.
Hii inaingia kwenye akili ya hawa wazee wa kiswahili hivii
Mohamed Said FaizaFoxy
IMG_20210523_211423.jpg
 
tatizo lako doctor ulizingua mwenyewe, tokea lini mamba kashikwa macho akatulia? lazma akushughulikie. Doctor uligusa pabaya, ila pole kwa kile kichapo.
Na mimi nalijua hilo kila utawala lazima wawepo watu wasiojulikana wenye kuwashughulikia watu.
 
Cheo cha 'Ushujaa wa Afrika' kina vigezo muhimu sana walioingia ni kama kumi hivi akiwemo Hayati Mwalimu Nyerere

Kwangu Mimi binafsi namuona Mzee Jakaya Kikwete kama ni mmoja wa Maraisi wapenda Demokrasia katika Bara la Afrika.
Unamzungumzia JK huyu huyu aliyemnyamazisha Doctor Ulimboka?
Kikwete angeondoka madarakani na kutuachia ccm isiyotegemea nguvu ya dola kuendelea kuwa madarakani angekuwa kafanya jambo kubwa sana.
 
Nilipokuwa nafuatilia msiba wa Magufuli, kwenye Television ya Taifa TBC, walikuwa wameweka maneno kumhusu Magufuli kuwa ni Shujaa wa Afrika lakini nikawa navuta fikra. Je, ushujaa wa Magufuli kwa Afrika ni upi?, Nikasema pengine ni kwa "Rhetoric" zake za kutukana Wazungu na kuwaita Mabeberu, lakini Mabeberu hao walipokuwa wakikohoa tu, mzee mzima anagwaya na anatii.

Kiufupi Magufuli alikuwa akiogopa sana Kibinyo cha Wazungu kuliko kelele za raia wake wenyewe. Tuliona kwa mfano “Mabeberu" wakimwambia abadilishe sheria za takwimu na akatii, Walimwambia aruhusu watoto wajawazito waendelee na masomo akabadili mwelekeo. "Mabeberu" ndiyo walioingilia kati Lissu apewe safe passage kurudi Ulaya na serikali ya Magufuli ikampa na passport kabisa, la sivyo habari leo hii ingeukwa nyingine!.

Mfano mwingine ni kwenye Makubaliano na Barick kuhusu mustakbali wa kampuni hiyo juu ya uchimbaji madini nchini, Kabla ya makubaliano hayo Serikali ya Magufuli ilipeleka muswada chapuchapu bungeni juu ya rasilamli zetu, na mle ndani sheria iliyotengenezwa ikasema Makinikia yatakuwa yanachenjuliwa hapahapa Tanzania, Lakini cha ajabu kwenye makubaliano na Barick mwaka mmoja au miwili baadae akavunja sheria yake mwenyewe, kwa kuruhusu makinikia yawe yanasafirishwa nje!. Sasa hiyo hype ya kuwa alipambana na Mabeberu inatoka wapi?

Najiuliza ushujaa wa Magufuli kwa Afrika ni upi wakati dalili zote za aina ya uongozi wake ilikuwa ni kutaka kuturudisha kwenye Afrika ya kale ambapo mtawala akiongea hakuna wa kuquestion la sivyo utakiona cha mtema kuni. Kiufupi Magufuli aliparalyse mifumo ambayo ingeijenga nchi kusimama kitaasisi na badala yake akaanza kutunga sheria na kufanya matendo ambayo yanazidi kumlibikizia yeye madaraka, chukulia mfano sheria ya rasilimali za Taifa, Hiyo sheria ilienda kuweka madini yote chini ya ofisi ya rais

Kwa kweli nikiangalia kitu chochote exclusive ambacho Magufuli amefanya kwa ajili ya Afrika nzima ni kama hakuna!

Lakini hii ni tofauti na Mstaafu Kikwete, Kikwete kuna mambo aliyafanya naweza kusema bila wasiwasi na kwa rekodi kuwa huyu mwana wa Afrika anastahili kupewa heshima yake na Afrika nzima

1. Kikwete alishiriki katika Usuluhishi wa Kenya
Baada ya uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka 2007,wakati Wakenya wakichinjana na kuhasimiana kitu kilichohatarisha kuzuka kwa vita ya wenyewe kwa Wenyewe, Rais Kikwete aliingilia kati kusuluhisha kambi hasimu za Raila Odinga na Mwai Kibaki, Pamoja na Juhudi za Kikwete pia walikuwepo marais wastaafu wa Afrika akiwemo hayati Mkapa. Ni kutokana na kazi hii Nchi ya Kenya ilimpa heshima ndugu Kikwete kuhutubia mabunge mawili ya Kenya, heshima ambayo ilikuwa hajawahi kupewa rais yeyote wa Tanzania kabla yake. Pia kwa kutambua kazi ya kikwete kwenye kuleta amani Kenya, barabara moja nchini Kenya , jijini nairobi ilibadilishwa na kupewa jina lake

2. Kikwete ainusuru Comoro dhidi ya kikosi cha Wahuni cha kanali Bacar
Wakati Comoro ikiwa inaelekea katika mtanzuko wa machafuko baada ya kikosi cha Muasi Kanali Bacar kuasi, Ni dhahiri visiwa hivi vya Comoro vingekuwa katika machafuko makubwa ikiwemo umwagaji damu, Ilikuwa ni Intervention ya Rais Kikwete kupeleka jeshi letu la JWTZ kwenda kuweka mambo sawa. JWTZ walipiga kazi nzuri na ndani ya wiki moja nchi ile ikawa imeshakuwa stabilized. Je ni watu wangap wangeuawa kama si kwa intervention ya Tanznaia, Ni wanawake wangapi wangebakwa?.Ikumbukwe siyo JK wa kwanza kuisapoti Comoro kijeshi, Hata mwalimu Nyerere amewahi kuisaidia Comoro ili kupambana na wakoloni wa ufaransa.

3. Kikwete ainusuru Congo dhidi ya Wahuni wa M23
Hawa wanayarwanda walikuwa wakiiba mali, kuua watu congo, Ni mpaka Viongozi wenye maono kama Kikwete waliojitolea kuendesha mission ya UN ya kuwadhibiti hao waasi. JWTZ kwa kushirikiana na majeshi ya Afrika ya kusini na Malawi walifanya kazi nzuri sana ya kuwadhibiti hao akina Jenerali Nkunda. Bila shaka ukiwauliza watu wa mashariki ya Congo kuhusu Intervention hiyo ya Kikwete, watakwambia huyu mtu ni shujaa wao

4. Usuluhishi wa Mgogoro Madagascar
Hali ya Madagascar ilikuwa imeshakuwa tete, magonvi na kupinduana kukiwa kumeiweka ile nchi katika hali ya sintofahamu, hali ya hofu mitaani. Ilikuwa ni kazi nzuri ya Kikwete kutafuta usuluhishi wa kisiasa huko

Maandiko yanasema heri wapatanishi!

Nikimpima Kikwete na Magufuli katika kutafuta ustawi wa bara la afrika, ikiwemo usuluhishi na upatanaishi, kutafuta amani ya watu wake, Kwa kweli Kikwete aliifanyia makubwa Afrika. Huyu anafaa kuitwa shujaa wa Afrika katika viongozi wa rika la hivi karibuni.

Magufuli yeye ni shujaa wa Afrika katika lipi?
Fyoko je wee ni kikwekwe mwanae au kuwadi wake kiasi cha kutoona ukweli na kusambaza uongo?
 
Sijaona mtu kwenye hii mada ambaye amecomment kwa kupinga hoja nilizoweka ubaoni kuwa!

1. Kikwete Kuwapiga m23 siyo jambo la kishujaa na zuri sana kwa mustakbali wa Afrika?
2. Kikwete Kurudisha amani Comoro kwa kuwapiga waasi wa kule siyo jambo la kishujaa na zuri sana kwa mustkbali wa Afrika?
3. Kikwete Kuleta upatanishi Kenya na kusaidia kuzuia vita vya wenyewe kwa wenyewe siyo jambo zuri sana kwa mustakbali wa Afrika?
4. Kikwete Kusuluhisha Mgogoro madagascar na kupelekea kupatikana amani siyo jambo zuri sana kwa mustkbali wa Afrika?
 
Nilipokuwa nafuatilia msiba wa Magufuli, kwenye Television ya Taifa TBC, walikuwa wameweka maneno kumhusu Magufuli kuwa ni Shujaa wa Afrika lakini nikawa navuta fikra. Je, ushujaa wa Magufuli kwa Afrika ni upi?, Nikasema pengine ni kwa "Rhetoric" zake za kutukana Wazungu na kuwaita Mabeberu, lakini Mabeberu hao walipokuwa wakikohoa tu, mzee mzima anagwaya na anatii.

Kiufupi Magufuli alikuwa akiogopa sana Kibinyo cha Wazungu kuliko kelele za raia wake wenyewe. Tuliona kwa mfano “Mabeberu" wakimwambia abadilishe sheria za takwimu na akatii, Walimwambia aruhusu watoto wajawazito waendelee na masomo akabadili mwelekeo. "Mabeberu" ndiyo walioingilia kati Lissu apewe safe passage kurudi Ulaya na serikali ya Magufuli ikampa na passport kabisa, la sivyo habari leo hii ingeukwa nyingine!.

Mfano mwingine ni kwenye Makubaliano na Barick kuhusu mustakbali wa kampuni hiyo juu ya uchimbaji madini nchini, Kabla ya makubaliano hayo Serikali ya Magufuli ilipeleka muswada chapuchapu bungeni juu ya rasilamli zetu, na mle ndani sheria iliyotengenezwa ikasema Makinikia yatakuwa yanachenjuliwa hapahapa Tanzania, Lakini cha ajabu kwenye makubaliano na Barick mwaka mmoja au miwili baadae akavunja sheria yake mwenyewe, kwa kuruhusu makinikia yawe yanasafirishwa nje!. Sasa hiyo hype ya kuwa alipambana na Mabeberu inatoka wapi?

Najiuliza ushujaa wa Magufuli kwa Afrika ni upi wakati dalili zote za aina ya uongozi wake ilikuwa ni kutaka kuturudisha kwenye Afrika ya kale ambapo mtawala akiongea hakuna wa kuquestion la sivyo utakiona cha mtema kuni. Kiufupi Magufuli aliparalyse mifumo ambayo ingeijenga nchi kusimama kitaasisi na badala yake akaanza kutunga sheria na kufanya matendo ambayo yanazidi kumlibikizia yeye madaraka, chukulia mfano sheria ya rasilimali za Taifa, Hiyo sheria ilienda kuweka madini yote chini ya ofisi ya rais

Kwa kweli nikiangalia kitu chochote exclusive ambacho Magufuli amefanya kwa ajili ya Afrika nzima ni kama hakuna!

Lakini hii ni tofauti na Mstaafu Kikwete, Kikwete kuna mambo aliyafanya naweza kusema bila wasiwasi na kwa rekodi kuwa huyu mwana wa Afrika anastahili kupewa heshima yake na Afrika nzima

1. Kikwete alishiriki katika Usuluhishi wa Kenya
Baada ya uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka 2007,wakati Wakenya wakichinjana na kuhasimiana kitu kilichohatarisha kuzuka kwa vita ya wenyewe kwa Wenyewe, Rais Kikwete aliingilia kati kusuluhisha kambi hasimu za Raila Odinga na Mwai Kibaki, Pamoja na Juhudi za Kikwete pia walikuwepo marais wastaafu wa Afrika akiwemo hayati Mkapa. Ni kutokana na kazi hii Nchi ya Kenya ilimpa heshima ndugu Kikwete kuhutubia mabunge mawili ya Kenya, heshima ambayo ilikuwa hajawahi kupewa rais yeyote wa Tanzania kabla yake. Pia kwa kutambua kazi ya kikwete kwenye kuleta amani Kenya, barabara moja nchini Kenya , jijini nairobi ilibadilishwa na kupewa jina lake

2. Kikwete ainusuru Comoro dhidi ya kikosi cha Wahuni cha kanali Bacar
Wakati Comoro ikiwa inaelekea katika mtanzuko wa machafuko baada ya kikosi cha Muasi Kanali Bacar kuasi, Ni dhahiri visiwa hivi vya Comoro vingekuwa katika machafuko makubwa ikiwemo umwagaji damu, Ilikuwa ni Intervention ya Rais Kikwete kupeleka jeshi letu la JWTZ kwenda kuweka mambo sawa. JWTZ walipiga kazi nzuri na ndani ya wiki moja nchi ile ikawa imeshakuwa stabilized. Je ni watu wangap wangeuawa kama si kwa intervention ya Tanznaia, Ni wanawake wangapi wangebakwa?.Ikumbukwe siyo JK wa kwanza kuisapoti Comoro kijeshi, Hata mwalimu Nyerere amewahi kuisaidia Comoro ili kupambana na wakoloni wa ufaransa.

3. Kikwete ainusuru Congo dhidi ya Wahuni wa M23
Hawa wanayarwanda walikuwa wakiiba mali, kuua watu congo, Ni mpaka Viongozi wenye maono kama Kikwete waliojitolea kuendesha mission ya UN ya kuwadhibiti hao waasi. JWTZ kwa kushirikiana na majeshi ya Afrika ya kusini na Malawi walifanya kazi nzuri sana ya kuwadhibiti hao akina Jenerali Nkunda. Bila shaka ukiwauliza watu wa mashariki ya Congo kuhusu Intervention hiyo ya Kikwete, watakwambia huyu mtu ni shujaa wao

4. Usuluhishi wa Mgogoro Madagascar
Hali ya Madagascar ilikuwa imeshakuwa tete, magonvi na kupinduana kukiwa kumeiweka ile nchi katika hali ya sintofahamu, hali ya hofu mitaani. Ilikuwa ni kazi nzuri ya Kikwete kutafuta usuluhishi wa kisiasa huko

Maandiko yanasema heri wapatanishi!

Nikimpima Kikwete na Magufuli katika kutafuta ustawi wa bara la afrika, ikiwemo usuluhishi na upatanaishi, kutafuta amani ya watu wake, Kwa kweli Kikwete aliifanyia makubwa Afrika. Huyu anafaa kuitwa shujaa wa Afrika katika viongozi wa rika la hivi karibuni.

Magufuli yeye ni shujaa wa Afrika katika lipi?
Wakati wa Magufuli niliwahi kuandika humuhumu JF kuwa Tanzania hatujawahi kuwa na Rais kama Kikwete na Hatutampata mwingine wa kumlinganisha nae kwa miaka mingi sana ijayo.
 
Sijaona mtu kwenye hii mada ambaye amecomment kwa kupinga hoja nilizoweka ubaoni kuwa!

1. Kikwete Kuwapiga m23 siyo jambo la kishujaa na zuri sana kwa mustakbali wa Afrika
2. Kikwete Kurudisha amani Comoro kwa kuwapiga waasi wa kule siyo jambo la kishujaa na zuri sana kwa mustkbali wa Afrika
3. Kikwete Kuleta upatanishi Kenya na kusaidia kuzuia vita vya wenyewe kwa wenyewe siyo jambo zuri sana kwa mustakbali wa Afrika
4. Kikwete Kusuluhisha Mgogoro madagascar na kupelekea kupatikana amani siyo jambo zuri sana kwa mustkbali wa Afrika
Hizo hoja hazipingiki. Ngoja niongezee...

Kikwete ali influence mipango bora na kabambe kuwahi kutokea barani Afrika, akiwa na Obama, akiwa na Bill Gates na wengineo wenye maamuzi duniani alisikilizwa na akapata alichokikusudia. Vingi vilikuwa kwa manufaa ya Afrika.
 
Back
Top Bottom