Halafu mbowe alipata zero fomu six...Dunia inakwenda Kwa makaratasi,mkioana wasomi watupu kama.anakuzidi GPA umekwisha.
Wa hivyo wanaweza survive Kwa kuona watu wenye career 2 tofauti mfano Mbowe (Siasa) na Mke wake Daktari ila ingekuwa wote madakatari harafu Mwanamama ndio awe na GPA Kali umekwisha brother,hiyo ni sychology ya Wanawake na mahusiano.
Mwanaume huna akili maendeleo utatoa wapi? Chimbuko la maendeleo ni ndoaUnawaza Ndoa, Badala ya kuwaza maendeleo.
Ni lugha na kauli kama hizi ndiyo huwa zinamshushia mtu heshima. kama unajijua una low emotional control usiwe unaleta nyuzi sensitive ambazo zinaku trigger mapema .Tulikiwa tunasomea kupekenyua k Yako
Mwanamke hata kama ana miaka 35 akikaa nyumbani kwao watu hawataKuhusu mtaa inategemea uko wapi.
Hahahahaha mkuu nakumbuka kuna course Moja nilipata supplementary na nikashindwa kuichomoa so nikai-carry mwaka wa tatu... Aisee mwaka wa tatu nilikua nasoma kwa presha kuliko Simba tulivyopigwa kagoli ka-away na Mabululu, Third year nilikua nasoma kuepusha aibu nisije nikarudi chuo wazazi wakaja kujua.... Nakumbuka nilikua nakaa geto lakini usiku nilikua naenda kujisomea chuo utadhani mtoto wa sekondari.Pole sana mwamba, mimi nimeona hiyo GPA 4.8 nikakumbuka matokeo yangu ya 1st Semester miaka hiyo.
Baada ya hapo God knows.
Sio kwa nusurika nusurika zile za Kudisco 🤣
Fuatilia zile programs dume kama Actuarial sciences na Chemical Engineering uone kama kuna malaya wameshikilia mwenge.
Vikozi vya kike kama Sociology, Sijui uhasibu na Mass Media huko ndio wavua chupi wamejaa
Pdiddy uongoo🤣🤣🤣wakiume wamegoma kujisalimisha kwa Pdid 😅😅😅😅
Lakini mwisho wa siku ukavuka salama.Hahahahaha mkuu nakumbuka kuna course Moja nilipata supplementary na nikashindwa kuichomoa so nikai-carry mwaka wa tatu... Aisee mwaka wa tatu nilikua nasoma kwa presha kuliko Simba tulivyopigwa kagoli ka-away na Mabululu, Third year nilikua nasoma kuepusha aibu nisije nikarudi chuo wazazi wakaja kujua.... Nakumbuka nilikua nakaa geto lakini usiku nilikua naenda kujisomea chuo utadhani mtoto wa sekondari.
KweliHuyu demu mbona alimaliza kitambo tena kozi ya chemical engineering kama sikosei na walikuwa wawili hii habari ya kitambo sana wewe chawa wa CCM
Kaz ukupata ndugu?Nakumbuka mwaka 2009 wakati naenda kusoma udsm nilifurahi sana nikajua maisha nimeshatoboa tayari... Leo 2024 maisha yananishona mbaya, kila iitwayo Leo maisha yananifua mbaya...
Kazi nililpata kitambo sana mkuu ila kutoboa ndo badoKaz ukupata ndugu?
Huwa najiuliza wamekulia na kuishi jamii gani ambazo hakuna wanawake wenye akili 😒Kuna comment za wanaume...ni wazi kabisa wanawaonea wivu hao wadada
Hapo sasa..wivu tuHuwa najiuliza wamekulia na kuishi jamii gani ambazo hakuna wanawake wenye akili 😒