Mahakama Kuu yatengua hukumu ya kuvuliwa Uwakili dhidi ya Fatuma Karume

Bunge lilifunga rasmi uwezo wa mtu yoyote kufungua kesi ya kikatiba mahakamani kwa marekebisho kwenye the Basic Rights and Duties Enforcement Act kuzuia mtu kufungua shauri bila kuwa na kiapo cha yeye kuathirika personally na kifungu husika anachodai kimevunjwa.

Kabudi huyu Mungu amlaani huko aliko.
 
Naona court supremacy imerejea kwa kasi ya 6G+😃😃
 
Umasikini mbaya kwa kweli,nampenda shangazi nimuoe tu yani.
 
Baba zetu wamekufa kwa mapenzi ya Mungu hawakuwa wabishi kufuata masharti na hawakuwa na kiburi na jeuri kama mwendazake.
tukisema mnashida vichwani mnajaa upepo.

mapenzi ya Mungu unayajua,au unachagua tu yapi yawe mapenzi yake yapi uyaite ya binaadam!!!
 
Alimfukuzaga kazi welle malecela akajua kammaliza, kusikia kachaguliwa UN alikasirika sana, aliamin yeye ndo mgawa rizki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…