tajiri tumbo kubwa
JF-Expert Member
- May 27, 2021
- 429
- 567
naunga mkono hoja , ni kweli kabisa mkuuSasa hivi Mihimili mingine imeanza kujiinua tena kutokea mavumbini. Ni muda sahihi sasa kurudi Mahakamani kufungua shauri la kupinga Halmashauri chini ya uongozi wa DEDs kusimamia chaguzi zote
Sisi Nchi tajiri sana hatushindwi kuweka key staff wa NEC Nchi nzima.
Kazi mnayo aiseeIkiwa kama kiongozi anaweza kuamua nani ahukumiwe na nani aachwe basi bila shaka hatutanyamaza , ni mpaka itengenezwe Katiba mpya itakayoonda Rais kuwa mungu
Elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimuiyo katiba itakusaidia nini kwa sasa
nchi inahitaji mambo mengi zaidi ya katiba mpya
tatizo wengi wenu miaka 5 tu nyuma hata uwezo wa kuchanganua mambo ulikuwa bado kabisa.Kuna wakati huwa natafakari, sipati jibu kuhusu marehemu. Najiuliza:
1) Alikuwa ni mtu ambaye kwa asili yake alikuwa ni mtu tu wa roho mbaya?
2) Alikuwa ni mtu wa kawaida lakini baadaye shetani akaingia ndani yake, na hivyo alikuwa ni shetani katika umbile la mwanadamu?
3) Au alikuwa ni mtu wa kawaida, lakini alikuwa na tatizo la afya ya akili kiasi cha muda mwingine kuwa wa kawaida, na muda mwingine akili kukengeuka?
Maana kuna uovu mwingine aliowafanyia watu, unazidi hata ule wa watu katili.
Kwa kweli marehemu alikuwa katili na roho ya ajabu:
Kufilisi watu
Kuteka watu
Kuua watu
Kubambikia watu kesi
Kupora pesa za watu
Yaani alitaka usipomwabudu, basi ukose na fursa nyingine zote za maisha ya hapa Duniani.
umeshindwa kumpuuza marehem mwezi wa nne sasa kipi unaweza!!!
masikini wa akili wewe.
Zee lilikuwa na Roho mbaya sana aisee, Bora limekufa na covid19Alimfukuzaga kazi welle malecela akajua kammaliza, kusikia kachaguliwa UN alikasirika sana, aliamin yeye ndo mgawa rizki
Vip ushaacha ushogaHuyu Dada pamoja na kwamba alionewa ila Mimi nilimchukia Sana baada ya kuanza kutetea mashoga na wasagaji.
Simpendi kabisa bora wangemwacha hivo hivo
Mungu Tusaidie Jaji Mkuu abatizwe Mwendazake No.2Ili kuendana na upepo huu mpya ni dhahiri sasa Jaji Mkuu na Mwanasheria Mkuu waondolewe , tusimung'unye maneno , hawa walishiriki kila uchafu .
ulijuaje kaumia!!!hata lissu alikimbia akaenda kupewa ubarozi wa kutetea mashoga na bado aliruhusu awe mgombea wa upinzani 2020.Alimfukuzaga kazi welle malecela akajua kammaliza, kusikia kachaguliwa UN alikasirika sana, aliamin yeye ndo mgawa rizki
Hilo gazeti ukiacha hiyo story ya PM kuna hiyo habari ya wachumi kuongelea uchumi kuimarika...ni uchumi upi huo ulioimarika waliokuwa wanauongelea? Ina maana siasa ziliingia hadi vichwani vya wasomi?
Huyu Dada pamoja na kwamba alionewa ila Mimi nilimchukia Sana baada ya kuanza kutetea mashoga na wasagaji.
Simpendi kabisa bora wangemwacha hivo hivo
Wanasema wakati ni ukuta.Waswahili walisema, mbio za sakafuni, huishia ukingoni.
Sasa kwa hili wimbi la mambo kubatilishwa mara tu baada ya bwana fulani kujifia zake, tushajua ukingo ulikuwa wapi.
Mkuu simnasema Samia Hana analofanya kwamba hatuna RaisHatimae haki imetendeka
[emoji16][emoji16][emoji16]umejibu bila hata kigugumizi yaani.Usiwe mjinga na mpumbavu tunajadili katiba ya nchi na siyo katiba za vyama! Katiba yenyewe ya CCM mgogoro, sasa mmebambikiziwa mwenyekiti na wote mmeufyata!
Ili kuendana na upepo huu mpya ni dhahiri sasa Jaji Mkuu na Mwanasheria Mkuu waondolewe , tusimung'unye maneno , hawa walishiriki kila uchafu .
hao ndio wanasheria ndugu yangu.Huyu Dada pamoja na kwamba alionewa ila Mimi nilimchukia Sana baada ya kuanza kutetea mashoga na wasagaji.
Simpendi kabisa bora wangemwacha hivo hivo
kakuachia wewe tu,peke yako ndio unanyanduliwa.Vip ushaacha ushoga
Unajua katiba ni nini na ina kazi gani wewe? Kweli akili ni nywele....iyo katiba itakusaidia nini kwa sasa
nchi inahitaji mambo mengi zaidi ya katiba mpya