Mahakama Kuu Zanzibar yaamuru Cryprian Musiba kumlipa Fatma Karume Tzs 7.5 bilioni

Rais wa awamu ya sita ni raia wa nchi gani mkuu?
 
Mbwa kweli kweli. Mtajua hamjui
 
Radio mbao plus mdomo wake alilamba milioni 60 per month, kuwatukana viongozi wa dini na wasioafiki fikra za sponsa.
Amewahi tamka hata msiponunua magazeti yatatoka tu.
 
Samia Yeye Ni Raisi wa Muungano . Uraisi Ni Jambo la muungano lakini mahakama ya Nchi huru ya Zanzibar haina ubavu wa kumkomalia raia wa Nchi ingine asiye raia wa Nchi huru ya Zanzibar waende mahakama ya kimataifa.
Tunasubiria majibu yake Msiba. Mahakama itakapotoa oda atafutwe ndiyo tutaju na mambo mengine ambayo hatuyajui kwenye muungano.
 
Ndo avune alichokipanda
Msiba huko alipo atakua anatukana mpaka vyombo VYA ndani, mawazo ,msongo wa mawazo utamuua, 7.5 b, ata ukimuuza Msiba na vimitambo vyake VYA magazeti, vibanda vyake ,Bado ni Kama tone la maji kwenye ziwa victoria,Msiba wafaaa
 
Huyo Musiba sasa ataenda kuolewa jela,hiyo 7.5B hata wakichanga ukoo mzima hawataipata.
 
Akome
 
Musiba amlipe tuu
Kwani si kidogokidogo hadi deni liishe😎😎
Maana Hata wakiuza mali zake hana hiyo pesa
Tunataka alipe yote , ccm mchangieni, leo mwataka mtelekeza wakati alikua anatukana watu na kuwazalilisha Kisa,aliekua boss wenu na serikali yenu


Changeni alipe pesa za watu 7.5 b hadi raha yani
 
Kuwa nyumbu ni raha sana.
Hata kama ni jambo la kipuuzi wewe ni kushangilia tu.
 
Duh! Billioni 7.5 atazipatia wapi jameni?!
Mtoto wa Karume uwe na roho ya kusamehe, inatosha!.
afadhali ungemdai fidia ya sh.1!! na kisha aombe radhi hadharani kama alivyo fanya Msigwa alipo shitakiwa na Kinana.
Nimecheka Sana mtoto wa Karume kanyoosha mtu, Msiba sio mda ataanza okota makopo
 
Duh ilikuwa majitambo, tashtiti, mashauzi,mbwembwe za kila namna
 
Kweli Sponsor akifa inageuka balaa...Musiba ukitukana watu sasa kaa mkao wa kunyolewa...Na Bado genge lenu la kutesa watu litaumia sana...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],kumbe bado anayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…