Atafilisiwa Mali zake na Deni litabaki.Tatizo hiyo pesa kubwa mno kuliko uhalisia, huyo Fatma mwenyewe anajua Musiba hana hiyo pesa.
Kwa nini wasiweke kiwango chenye uhalisia, hata milioni 10 ingetosha kumpa jamaa wenge.
Nyie mawakili wa Cyprian Musiba, ndiyo utetezi wenu huu kwa mteja wenu...?Kwani Musiba Ni raia wa Nchi ya Zanzibar? Ninachojua ukitaka ku practice uwakili Zanzibar lazima usajiliwe upya kwao
Hiyo kesi wakaisajili mahakama ya kimataifa kunenforce sababu Zanzibar Ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar.
Musiba si raia wa Nchi ya Zanzibar na Hana mpango wa kuomba uraia Zanzibar
Kwani Musiba Ni raia wa Nchi ya Zanzibar? Ninachojua ukitaka ku practice uwakili Zanzibar lazima usajiliwe upya kwao
Hiyo kesi wakaisajili mahakama ya kimataifa kunenforce sababu Zanzibar Ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar.
Musiba si raia wa Nchi ya Zanzibar na Hana mpango wa kuomba uraia Zanzibar
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania, hukumu itasajiliwa tu huku bara.Ina jurisdiction Tz Bara? Kwanini hakufungua Bara?
Alijikuta nani sijui apelekewe motoMpelekee lishe bwana maana naona jina lake linaenda kumpa misukosuko..,kudaiwa 7.5B ni βMusibaβ
Nimekupata Sana Ni wachache watakuelewaFatma ana akili na hmjamuelewa. Angeweza kuifungulia hii kesi bara akammaua kuchokoza mambi ya muungano.
Subirini muone kitakachotokea.
Asante kwa ufafanuziZanzibar ni sehemu ya Tanzania, hukumu itasajiliwa tu huku bara.
bado na kesi ya Membe na Musiba, nayo ni ya mabillioni, sijui Musiba atachomoka au ?
Hukumu ya shauri lazima itakuwa imeonyesha kuwa asipolipa katika kipindi kilichotajwa atapatwa na nini.Akishindwa kulipa inakuwaje? Atafungwa?
Thanks for clarificationMahakama kuu na Rufani ni jambo la muungano unaweza kufungulia popote
wacha ahangaike kwanza na mahakama, huyu jamaa alitamba sana enzi zake- wengine waliamua kumwacha tu, yaani kuwaita wazee wastaafu tena wa Urais kwamba ni wachumia tumbo... kweli huyu jamaa aisee.Tatizo hiyo pesa kubwa mno kuliko uhalisia, huyo Fatma mwenyewe anajua Musiba hana hiyo pesa.
Kwa nini wasiweke kiwango chenye uhalisia, hata milioni 10 ingetosha kumpa jamaa wenge.
kuna mwenye ile clip yake anadance atuwekee tuburudike...atajua hajui!ππππ
Atakimbia nchi huyu,mataga wafahamu kuwa kila wanalolifanya watalipa hapahapa duniani wao na familia zao.
Ni mwendo wa kutumika kama banzoka aka big G.
Leo hii ndio anaiamini hiyo mahakama kwa kuwa Musiba ameamuriwa amlipe? mahakama ya zanzibar lolo.Kupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;
Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.
Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.
Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
ππππKuna msemo unasema heshimu watu sponsor ufariki
Huyo Misiba angekuwa mpinzani hiyo hukumu ingekuwa na maana, na kesi iwe imefanyikia huku Bara. Hakuna mwanaccm anatii amri ya mahakama, hasa mwenye haki anapokuwa mkosoaji wa serikali.Kupitia ukurasa wake wa Twitter Wakili msomi, Fatma Karume aka Shangazi, ameandika hivi;
Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!. Namshukuru sana Advocate Wangu!.
Billion 7.5 ilihali sponsor ameshakufa na kwa upande mwingine biashara zake zimemuendea kombo hadi kushindwa kuwalipa Wafanyakazi mbona atajua hajui!.
Watu wa karibu wa Musiba mnaweza kumpa hizi habari maana ni kitambo hatujamuona huko Twitter republican huyo aliyekuwa "Mwanaharakati huru" wa kumtetea hayati Magufuli.
Kwani Musiba Ni raia wa Nchi ya Zanzibar? Ninachojua ukitaka ku practice uwakili Zanzibar lazima usajiliwe upya kwao
Hiyo kesi wakaisajili mahakama ya kimataifa kunenforce sababu Zanzibar Ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar.
Musiba si raia wa Nchi ya Zanzibar na Hana mpango wa kuomba uraia Zanzibar