Mahakama Kuu Zanzibar yaamuru Cryprian Musiba kumlipa Fatma Karume Tzs 7.5 bilioni

Huyo Misiba angekuwa mpinzani hiyo hukumu ingekuwa na maana, na kesi iwe imefanyikia huku Bara. Hakuna mwanaccm anatii amri ya mahakama, hasa mwenye haki anapokuwa mkosoaji wa serikali.
Na tusubiri tuone. Muda ndio muamuzi wa mwisho.
 
Lihove2
 
Hakuna amri ya mahakama inayotekelezwa iwapo haki ni ya mpinzani au mkosoaji wa serikali. Hiyo ni hukumu ya kufurahisha genge.
Ile ya Mdude na akina Mbowe kurudishiwa hela ilikuwa ya nini?
 
😂😂🤣🤣🤣
 
Hivi mtu kama Musiba ni wa kumfungulia kesi nadhani ni wa kuupzwa ! Ukichaa wake ni wa hali ya juu tu!
 
Ile ya Mdude na akina Mbowe kurudishiwa hela ilikuwa ya nini?

Fuatilia kama kuna popote wamerudishwa hiyo hela. Hakuna mahali wapinzani wanatekelezewa Hizo haki kwa maana ya haki kutokana na sheria inavyotaka.
 
Fuatilia kama kuna popote wamerudishwa hiyo hela. Hakuna mahali wapinzani wanatekelezewa Hizo haki kwa maana ya haki kutokana na sheria inavyotaka.
Ya Mdude vipi? Kwani hiyo hela ikirudishwa huwa inatangazwa kwa kila mtu? Sidhani kama sheria za fedha zinataka hivyo
 
Ya Mdude vipi? Kwani hiyo hela ikirudishwa huwa inatangazwa kwa kila mtu? Sidhani kama sheria za fedha zinataka hivyo

Narudia tena, hakuna popote serikali inatekeleza hukumu za hivyo, labda uwe na uwezo wa kukamata mali za serikali, kama yule mzungu aliyekamata ndege huko nje.
 
Narudia tena, hakuna popote serikali inatekeleza hukumu za hivyo, labda uwe na uwezo wa kukamata mali za serikali, kama yule mzungu aliyekamata ndege huko nje.
Haupo sawa Mkuu, endelea kujitoa ufahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…