Yasemekana msiba alipewa kazi yaani kandarasi ya kuwasemea ovyo wabaya wa Kaisari.Bado kesi ya Membe. Hivi ule ushujaa alikuwa anautoa wapi?.
Kwani umeambiwa haivuki?Keep my words
.
Hamna kitu hapo. Hiyo hukumu ili iwe na meno dawa ivuke bahari na isomwe Bara..
Ana chura?Fatuma anaupiga mwingi sana.Watoto wa kike someni kwa bidii ili nchi yetu iwe na Mafutuma wengi.
Fatma kama vipi amuoe waishi hamna namnaAkishindwa kulipa inakuwaje? Atafungwa?
Si waowane tu..[emoji1787]
Haupo sawa Mkuu, endelea kujitoa ufahamu
Ndio google soma katiba yao current ya mwanzo ilisomeka Zanzibar Ni sehemu ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania kuwa Ni kama mkoa wakaleta ujuaji wakajuandikia katiba yao current inayotamka kuwa Zanzibar Ni nchi kamiliZanzibar ni nchi mkuu?
Kwani asipo enda Zenji nani atamkamata?Ameshinda case ya defamation au ameshinda case ya madai baada ya kushinda case ya defamation? Je, mahakama za Zenji zina mamlaka gani kwa huku bara ? Wanaweza kukazia hukumu huku bara au mamlaka yake yanaushia huko visiwani.
Samia Yeye Ni Raisi wa Muungano . Uraisi Ni Jambo la muungano lakini mahakama ya Nchi huru ya Zanzibar haina ubavu wa kumkomalia raia wa Nchi ingine asiye raia wa Nchi huru ya Zanzibar waende mahakama ya kimataifa.Kwa hiyo Rais mama Samia aliomba uraia wa Tanganyika? Tunataka katiba mpya.
Alikuwa ananiudhi sana,ngoja na hukumu ya Jasusi mbobezi nayo itoke.Musiba kabla sponsor wake hajafa😁😁😁
View attachment 1888633
HakunaKwani asipo enda Zenji nani atamkamata?
Nina muda wa takribani miezi 5 hivi sijamsikiaMwanaharakati huru kapotea.
Magazeti ya kuchambia yaliyokuwa yanaprintiwa pale Malindi Printing Press baadae wakamtosa kama kondomu iiliyotumika.Alikuwa ananiudhi sana,ngoja na hukumu ya Jasusi mbobezi nayo itoke.
Alihojiwa mwezi wa saba akidaiwa mishahara ya wafanyakazi wake awajalipwa tangu alipokufa magu, walisema wanataka kumburuza mahakama alisikika akisema yupo anaumwa aachwe apiganie uhai wake kwanza.Nina muda wa takribani miezi 5 hivi sijamsikia
Sasa uhai wake una faida gani mpaka apoteze muda kuupiganiaalisikika akisema yupo anaumwa aachwe apiganie uhai wake kwanza.