Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Na Jaji Masaju ni mshauri wa nini? Kama Kabudi ni mshauri wa kisheria ?

Ficha ujinga wakati mwingine
Wewe unafikiri Ikulu ina mshauri mmoja tu?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Wewe unafikiri Ikulu ina mshauri mmoja tu?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Mshauri wa Sheria ushasema na mshauri wa Sheria wa Rais ni Jaji Masaju sio Kabudi

Mengine tukueleweshe sababu unashinda sana Madrasa huelewi
 
Mshauri wa Sheria ushasema na mshauri wa Sheria wa Rais ni Jaji Masaju sio Kabudi

Mengine tukueleweshe sababu unashinda sana Madrasa huelewi
Madrasa hakuna wajinga.

Unafikiri Ikulu ina mshauri mmoja tu?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Madrasa hakuna wajinga.

Unafikiri Ikulu ina mshauri mmoja tu?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Zanzibar kumejaa madrasa Kila Kona na Kila matokeo ya NECTA wanakuwa wa mwisho sababu ni nini?
 
Mtazunguka mmbuyu weeh, lakini kwa wengine wala sio jambo la kushangaza vitimbi watakavyofanya watanzania huko.

Na lipo wazi kwanini awawezi shinda kesi.

I have stated more than 1000 times, sakata la IGA lime expose wanasheria wa Tanzania kwenye maswala ya mikataba hamna kitu.

Sasa wewe dhani utani just because unataka kusikia unayopenda wewe; ila kwenye dunia ya wote nje ya Tanzania hayo mambo yanaamuliwa kwa kanuni dunia iliyojiwekea sio vitu unavyotoa kichwani.

Train people appropriately sio kuunga kuunga halafu udhani that’s how the world works.

Ukienda kwa wazungu watakutandika, hawa ni watu if left alone bila ya serikali zao kuwa na mechanism za kulinda wananchi. In the name of capitalism wapo radhi kuchukua hela ya mtu alieifanyia kazi mwezi mzima yote bila ya huruma na wala hakosi usingizi usiku. Halafu wewe upeleke unga unga kwenye case zao.
Mimi kinachonitisha ni watanzania kudhani dunia nzima ni wajinga kama tulivyozoezwa sisi kuamini uwongo hadharani kuwa ni kweli. Watanzania wengi ni incompetent hili wala siyo siri ila huku ndani ndiyo huwa tunadanganyana sisi ni wajuzi
 
Mkuu Yana ukweli haya!!?
Nuhu Jabir Mruma ni Katibu Mkuu wa BAKWATA. Just google mkuu
images (2).jpeg
 
Hivi Mruma ni mtaalamu wa Sheria ama yule ni Geologist?

Why serikali inawatuma watu wa miamba wakalitetee taifa kwenye maswala ya Kisheria?

Muda mwingine unaweza kufikiria kuna baadhi ya watu wanataka Tanzania ishindwe, idaiwe Mabillion kisha nao wapate mgao.
Ni Professorial Rubbish
 
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

View attachment 2697730
Hii hearing ilikuwa hatari sana. Anaulizwa hivi ndivyo mwanasheria wako amekuambia useme? Mzee anajing’ata tu.
 
Hua tunawaeleza hawa wasomi wa Tanzania ni wajinga waliopita darasani mnakataa, haya pamoja na ujinga wake musukuma akiwadharau mnamind mnajionea mtu mzima hata kujieleza hajui kabisa na hata kutetea nchi hajui
 
Hii ndiyo 'mentality' ya kipuuzi kabisa inayoenezwa katika taifa hili.
Unashangilia kushindwa, na kwamba utasahau na maisha yataendelea kama kawaida!

Hopeless Kabisa kwa watu wenye akili za kijinga namna hii.
Akili huna, kwamba yeye alipanga kushindwa ?

Ishatokea na yeye hakupenda acha maisha yaendelee..!
 
Back
Top Bottom