Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
KuonekanaAmeenda kufanya nni sasa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KuonekanaAmeenda kufanya nni sasa...
Kasheshe...nimeskia 'I got up not well today'Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?
Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?
View attachment 2697730
Aibu nimeona mie 😪Ameenda kufanya nni sasa...
Dp World haijaanza kazi Tushaona rasha rasha za ajabu za Waarabu wanaowekeza.Bado DP World najua siku ikifika utakua humu humu usije ukabadirisha ID tu
Nije pwani ntakukuta wapi unioneshe?Dp World haijaanza kazi Tushaona rasha rasha za ajabu za Waarabu wanaowekeza.
Njoo Pwani ujionee.
Kondoo sasa hivi bei juu kuliko mbuzi.
Unalijuwa hilo?
Geologist.Mruma ni Geologist au Lawyer?
Hapo anahojiwa na wakili wa walalamikaji, mkuu wanasheria huwa ni wajanja sana mnapokuwa ulingoni mfano hapo anakupeleka resi ili uende anavyotaka uingie mkenge ujae kwenye 18...mi naona mzee anafanya vizuri kuweka pause kupata nafasi kutafakari jibu la kutoa.Wakati wa shida utajua mmiliki wa kweli wa title wanazopeana.
Nafkiri Mzee Geo alikuwa hasikii chalii aliyokuwa akitamka.
Duuh kumbe? Maswali yale ya projectile magunu hakuna tena?Nimepitia yale maswali ni mepesi sana
Kila swali marks kumi na unafanya maswali 10 hiyo physics
Mimi nilichagua kuwa Upande wa Lissu.Kuna MAFALLA WA NCHI HII WALIMTUKANA LISU SANA ALIPOTOA TAHADHARI HII LEO IMEJIBU
View attachment 2697667
Lissu akili kubwa.Mimi nilichagua kuwa Upande wa Lissu.
Cc Eltwege na MIGA
Kishajichanganya yeye mwemyewe,badala ya kujadili mada yeye kaingiza udini,matokeo yake kajikuta kishatukana dini yake mwenyewe akidhani ni anatukana wengineKwa taarifa yako Profesa Mruma ni muislamu wa swala tano na jina lake ni AbdulkarimMruma.
Hivi Mruma ni mtaalamu wa Sheria ama yule ni Geologist?
Why serikali inawatuma watu wa miamba wakalitetee taifa kwenye maswala ya Kisheria?
Muda mwingine unaweza kufikiria kuna baadhi ya watu wanataka Tanzania ishindwe, idaiwe Mabillion kisha nao wapate mgao.
he hee ninakumbuka Professorial rubbish wa makinikia ndiye huyu huyu anateswa! kwa kudesa mambo mengiHivi mruma si wa dini yenu bigshow? Maana anaitwa hamis abdukarim mruma au majina wamekosea?
Wachumia tumbo huwa hawamwelewiLissu akili kubwa.
Hii ndiyo 'mentality' ya kipuuzi kabisa inayoenezwa katika taifa hili.Kadhalilika wapi? au ujinga wa watu kujiona wanajua sana .
Rais anafanyiwa bullying sembuse huyo wengi wanamnanga Kwa ishu ya kisasa ,kwani kushindwa ni kosa ..yatapita tu na atabaki na familia yake ni maneno tu.
Kusoma hekima ndo maana watu wanafanya bullying ,kukosea kawaida mbona Mwakinyo alienda nje akapigwa alizomewa na kupewa kejeli ila sasa kashasahau na maisha yanaendelea
Kuna mtu kaweka humu hizo paper ila ni nyepesi sanaDuuh kumbe? Maswali yale ya projectile magunu hakuna tena?
Shida ni hii mifumo ya toka mwaka 60 huko, inaturudisha sana nyuma basi tu.Nchi corrupt hata hao bright unaouwaita wakiingia wanaacha AKILI getini
Popote tu utapofika ita jina langu mara tatu, ntakuwepo.Nije pwani ntakukuta wapi unioneshe?
We niambie nitakua pwani Mkuranga Mtipesa nakungoja au hapa Sheli ya Njano njoo utanikuta yaan toa location mkuu nichome mafuta sasa hivi nijePopote tu utapofika ita jina langu mara tatu, ntakuwepo.
Zee la bandariProf mbarawa umemsahau shehe