Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Umemsahau Kabudi? Au unafikiri anafanya nini Ikulu? Si ndiye mshauri mkuu wa Sheria wa rais?
Na Jaji Masaju ni mshauri wa nini? Kama Kabudi ni mshauri wa kisheria ?

Ficha ujinga wakati mwingine
 
Na Jaji Masaju ni mshauri wa nini? Kama Kabudi ni mshauri wa kisheria ?

Ficha ujinga wakati mwingine
Wewe unafikiri Ikulu ina mshauri mmoja tu?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Wewe unafikiri Ikulu ina mshauri mmoja tu?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Mshauri wa Sheria ushasema na mshauri wa Sheria wa Rais ni Jaji Masaju sio Kabudi

Mengine tukueleweshe sababu unashinda sana Madrasa huelewi
 
Mshauri wa Sheria ushasema na mshauri wa Sheria wa Rais ni Jaji Masaju sio Kabudi

Mengine tukueleweshe sababu unashinda sana Madrasa huelewi
Madrasa hakuna wajinga.

Unafikiri Ikulu ina mshauri mmoja tu?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Madrasa hakuna wajinga.

Unafikiri Ikulu ina mshauri mmoja tu?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Zanzibar kumejaa madrasa Kila Kona na Kila matokeo ya NECTA wanakuwa wa mwisho sababu ni nini?
 
Mimi kinachonitisha ni watanzania kudhani dunia nzima ni wajinga kama tulivyozoezwa sisi kuamini uwongo hadharani kuwa ni kweli. Watanzania wengi ni incompetent hili wala siyo siri ila huku ndani ndiyo huwa tunadanganyana sisi ni wajuzi
 
Ni Professorial Rubbish
 
Hii hearing ilikuwa hatari sana. Anaulizwa hivi ndivyo mwanasheria wako amekuambia useme? Mzee anajing’ata tu.
 
Hua tunawaeleza hawa wasomi wa Tanzania ni wajinga waliopita darasani mnakataa, haya pamoja na ujinga wake musukuma akiwadharau mnamind mnajionea mtu mzima hata kujieleza hajui kabisa na hata kutetea nchi hajui
 
Hii ndiyo 'mentality' ya kipuuzi kabisa inayoenezwa katika taifa hili.
Unashangilia kushindwa, na kwamba utasahau na maisha yataendelea kama kawaida!

Hopeless Kabisa kwa watu wenye akili za kijinga namna hii.
Akili huna, kwamba yeye alipanga kushindwa ?

Ishatokea na yeye hakupenda acha maisha yaendelee..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…