Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Labda angukua Putin wa chato.Uchaguzi mkuu Russia ni mwakani March 2024
The Hague hawajawahi kamata mtu wananchi na wanajeshi ndio hukamata na kupeleka the Hague
Warusi wenyewe watamkamata na kumpeleka wamechoka vita
Atashikwa kama kuku wa mdondo watu wachukue nafasi yake March 2024 uchaguzi mkuu
Imefanywa calculation kuwa Putin atqjidai ohh hakuna uchaguzi sababu nchi iko vitqni hivyo niendelee!!!
Tamko la mahakama limetolewa at the right time Putin analo
Hata akitoka madarakani,hakuna wa kumgusa!Urusi sio Iraq!Putin kwa sasa atajilinda mno asipoteze madaraka, maana ndio njia pekee ya kujihakikishia usalama wake.
Alafu watu wake wapo pamoja na Putin Kwa Sababu sio kwamba Putin anajifanyia Tu Mambo.Boss, Mambo mengine bora kutokuhusisha MUNGU. Sasa ikitokea akakamatwa aliyemkamata ndo mungu wako? Maana ushasema ni mungu tu ndiye anayeweza. Usiweke imani kwa binadamu. Putin ni binadamu, walinzi wake ni binadamu. Kumkamata Putin ni jambo gumu linalowezekana. Watu wake tu wakimsaliti ugumu wa kumkamata unapungua.
March 2024 uchaguzi mkuu RussiaUmeacha wapi akili mkuu?
Sio kweli vijana ambao ndio asilimia kubwa ya population hawataki vita wao na mama zao ambao ndio population kubwa ya RussiaAsilimia 90 ya warusi wanamuunga mkono Putin ebu tumia Akili hata kidogo.
Muzenhe; Hivi wanamuunga mkono kwa hiari au kuna shinikizo?Asilimia 90 ya warusi wanamuunga mkono Putin ebu tumia Akili hata kidogo.
Na anahitaji sana hili sababu akililosa hili ni kete muhimu sana kwa adui zake. Historia inaonyesha west na usa ni wazuri kutumia watu wako unaowaongoza kukusumbua.Asilimia 90 ya warusi wanamuunga mkono Putin ebu tumia Akili hata kidogo.
Hujarudia, umebadili. Hukutumia neno kwa idhini. Ulisema ni mungu tu ndo anaweza mkamata.Narudia Tu anayeweza Kumkamata Putin ni Mungu tu.hawawezi kumkata isipokuwa Kwa idhini ya Mungu Tu.
🤣🤣🤣🤣🤣,Kanywe maji ulale kijana!Ni shida aisee kwani wamemwondolea kinga. Maana yake kwa sasa Putin hana Immunity tena. Yani CD4 zimeshuka chini kabisa ya kiwango.Ugonjwa wowote, hijack, assassination na watu wake watamwepuka au kumsaliti bila kikwazo, personaly kisaikolojia atakuwa na wasiwasi mkubwa zaidi juu ya uhai wake - Atakosa muda wa kufikiria vita. Anaweza kupatwa na kiharusi, shinikizo la damu, moyo au kukimbilia mafichoni kwa usalama zaidi n.k.
Stay tunedLabda angukua Putin wa chato.
Acha uongoMarch 2024 uchaguzi mkuu Russia watu waRu
Sio kweli vijana ambao ndio asilimia kubwa ya population hawataki vita wao na mama zao ambao ndio population kubwa ya Russia
Wanawake na vijana. vikongwe vizee vya communist era ambavyo ni vichache ndio vinaunga mkono hiyo vita
Hata nchi zetu vikongwe vya enzi za ujamaa wa Nyerere ndivyo vinamshabikia Putin
Labda Kwa nyie nchi Shithole.Na anahitaji sana hili sababu akililosa hili ni kete muhimu sana kwa adui zake. Historia inaonyesha west na usa ni wazuri kutumia watu wako unaowaongoza kukusumbua.
Kuhusu watu wake siwezi kataa wala kubali. Binadamu ni kiumbe complicated sana. Leo mpo pamoja kesho ni adui yako. Inawezekana leo upo sahihi ila hatujui kama kesho usahihi utaendelea kuwepo.Alafu watu wake wapo pamoja na Putin Kwa Sababu sio kwamba Putin anajifanyia Tu Mambo.
Kwani wewe unafikiri Mungu anashuka Ile aje Kumkamata Putin?Mungu anatoa go ahead Tu.Hujarudia, umebadili. Hukutumia neno kwa idhini. Ulisema ni mungu tu ndo anaweza mkamata.
Kama ni kwa idhini upo sawa.
Ngoja mjomba awatumie komboraIcc nao wapuuzi tu hawana jipya!! Wana nyavu za kuvua vidagaa tu, big fish hawatawaweza
Wazungu anaweka maslahi ya nchi mbele kila mara.Kuhusu watu wake siwezi kataa wala kubali. Binadamu ni kiumbe complicated sana. Leo mpo pamoja kesho ni adui yako. Inawezekana leo upo sahihi ila hatujui kama kesho usahihi utaendelea kuwepo.
2024 March uchaguzi mkuu Russia kama hujuiAcha uongo
Mchambuzi wa mambo ya kivita. [emoji3][emoji3]Vita part two wanawapa mwanya magenerali wa kirusi kupindua Russia kwa kumkamata kuwa wasipate shida wakimpindua kuwa wampeleke wapi ni the Hague
Hadi hilo tamko kutolewa ina maana assessment ya vita inaonyesha mwelekeo mzuri wa Putin kuchokwa ndani ya Russia kwenye inner circle za chama tawala na jeshi