Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) yatangaza hati za kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu

Benyamini anatakiwa akanyee ndoo
 
Mateka wako wapi?

Anaachaje vita huku magaidi bado wana mateka wa Kiyahudi
Alishakataa habari za mateka ,hadi Biden alitoa ceasefire plan ambayo ingeachia mateka wote, jamaa akaikataa, akatoa visababu vya kitoto ,hadi wananchi wake waliandamana kama unafuatilia international news, acha tu aishi kama kibaka, ndio maana waziri wake wa vita gantz alimtema mapema alishaona huyu ni mbinafsi na hajali kuhusu waisrael
 

Attachments

  • Screenshot_20241121-221117_Facebook.jpg
    262.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241121-221144_Gallery.jpg
    114.7 KB · Views: 1
Dharau na kejeli kwa watu wanaopingana na wewe pamoja na wenzio tumezizoea na hazifichi ukweli kwamba Myahudi is not done na magaidi kabisa.
It is either mtambue haki ya Mayahudi kuishi au mfe.
Wa kumlaumu ni yule mzee aliyewadanganya kwamba alikwenda mbinguni na punda!
 
Sasa mchungaji yesu si aliwaambia mtu akikupiga Kofi shavu la kushoto
We mgeuzie na lakulia ,,
Mbona hamfati maandiko ya kitabu chenu .,
Hawa wazayuni sio wakristo mzee wao nijino kwajino
 
Wavaa kobazi wamesema wanataka waendelee kupigwa "alaho akibaro,
Sasa mnakamata wapigaji tena watapigwa na nani huku wanawashwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…