Naona mnapokezana, angalia wenzako walionusa walichokipata halafu rudi unieleze kama unataka tuendelea au tuishie hapa maadam Pythagoras.Uliacha lakini unakuja for Funny? Wewe ndio mpuuzi kuliko hata siasa yenyewe. Uliacha siasa lakini unaifatilia kupata furaha ya siasa. Kweli wokengela So akadyanyoko ubhona.
Kwa comment hii, tayari wewe una hukumu yako mfukoni tayari.Hata kama kungekuwa na jela nyingi kama mchanga hakuna anayejali, bali ni watu wafungwe kwa haki sio kwa amri ya rais kisa ana ulevi wa madaraka.
Watanzania wote ni KUNGURUKenya wapo active Sana kuripoti kesi Kama hizi live.
Tz sijui media zinafanya nn
We ndo kunguru.Acha matusi.Hali ya nchi unaijua unadhani Nzi wa Kijani wataruhusu hilo?
Ngoja niongee na ZZK ntarudi soonMashtaka 12 kati ya 13 waliyofunguliwa Mbowe na wenzake yamethibitshwa na mahakama kuwa ni ya kweli. Shtaka moja tu la kula njama ndilo lililoondolewa.
Kwa maana hiyo Mbowe na wenzake walisababisha mauaji!
Go & assist Mwenyekiti wenu, hali yake sio nzuri kwa kweli, nendeni kwa wingi Kisutu acheni kukaa huku na makelele hamtamsaidia, atleast mkalie pamoja pale..
halafu unajua (ganda la ndizi jalalani) ndio hawahawa walihesabu matokeao ya kura 2015, wakapambana na wenzao wapinzani walivyokuwa wakiendelea kuhesabuNape: unajua huyu ni mshamba sana.
Kinana; nape.. sio mshamba tu ni amechanganyikiwa.
Soma vizuri nilichoandikaSina jazba mkuu. Nimekutaka ueleze wapi na lini niliisifia mahakama.