Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

halafu unajua (ganda la ndizi jalalani) ndio hawahawa walihesabu matokeao ya kura 2015, wakapambana na wenzao wapinzani walivyokuwa wakiendelea kuhesabu
lakini wote hawapo barabarani tena
View attachment 1383191
Daaaah.. hii picha imenitafakarisha jamaa anadhani kashushwa kumbe kuna watu wamempigania nia, nadhani hata kuomba kwao misamaha ni kishingo upande.
 
Mshiko wa ruzuku, michango ya wahisani na wanachama anaoupata Mbowe ni hela ndefu kuliko biashara alizowahi kufanya! Mbowe yuko kibiashara nyie mnadhani ni mwanasiasa! Kwa asili yake ya uroho wa hela yuko tayari kwa lolote ili mradi anapiga mkwanja mrefu! Nyie mko hapa sijui anaonewa! Yeye kimoyomoyo anawacheka! Kalaghabao!
Kama unafikiri kuna mwanasiasa hata wa CCM ambaye kipaumbele chake ni maslahi yako wewe umechelewa sana,tena nakupa pole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutiwa hatian sio kufungwa, lazima wataambia kuhusu faini wewe unafikil dk mashinji naye afungwe kitu kama hicho akipo
 
GOD HAVE MERCY RISASI WAPIGE WENGI KUFUNGWA, WAFUNGWE WENGINE.
 
Back
Top Bottom