mkuu wa kijiji
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 966
- 1,052
Kwahiyo we shangazi unajaribu kuelezea uzoefu wako wa kuolewa kule jela kupitia kesi ya Mbowe?
Daaaah.. hii picha imenitafakarisha jamaa anadhani kashushwa kumbe kuna watu wamempigania nia, nadhani hata kuomba kwao misamaha ni kishingo upande.halafu unajua (ganda la ndizi jalalani) ndio hawahawa walihesabu matokeao ya kura 2015, wakapambana na wenzao wapinzani walivyokuwa wakiendelea kuhesabu
lakini wote hawapo barabarani tena
View attachment 1383191
Baada ya hukumu hii kama Watanzania inatakiwa tujitafakari sana ngoja tuone maamuzi ya mwisho ya hakimuCCM kazini.....
Kama unafikiri kuna mwanasiasa hata wa CCM ambaye kipaumbele chake ni maslahi yako wewe umechelewa sana,tena nakupa poleMshiko wa ruzuku, michango ya wahisani na wanachama anaoupata Mbowe ni hela ndefu kuliko biashara alizowahi kufanya! Mbowe yuko kibiashara nyie mnadhani ni mwanasiasa! Kwa asili yake ya uroho wa hela yuko tayari kwa lolote ili mradi anapiga mkwanja mrefu! Nyie mko hapa sijui anaonewa! Yeye kimoyomoyo anawacheka! Kalaghabao!
Tangu zamani ndio hakimu wao Lumumba huyo wanaemtumia kuhusu wapinzaniHuyu Hakimu atateliwa kuwa jaji
Makamba and family wao tayari washabatizwa kwa moto na fisiem wenzaoMzee makamba alipowambia atawabatiza kwa moto mlidhani utani haya sasa ubatizo unaanza leo kisutu
Hebu rudi ufafanunue vizuri hapa mkuu nahisi kma sijaeleewa badoIla bulaya bwana akili yake yote alimpaga halima mdee. Yaani ukitaka kumkamata bulaya we mtege tu halima mdee. Bulaya ataingia mzima mzima. Kweli penzi ni upofu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakili Kibatala amemwomba Hakimu kutoa hukumu ya washtakiwa walipe faini badala ya kuwapa adhabu ya kifungo baada ya washtakiwa wote kukutwa na Hatia kwenye makosa 12 kati Ya makosa 13 yaliyokuwa yanawakabili