Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Aaron Arsenal,
Watu wanachanga ni mapenzi yao kama sehemu ya kuonyesha kuwa hao watu wameonewa kwa maagizo ya rais. Kwani huko kanisani watu wanatoa sadaka na kuchanga michango mbalimbali ni kuwa Mungu anashida na hela?
Watu wanachanga ni mapenzi yao kama sehemu ya kuonyesha kuwa hao watu wameonewa kwa maagizo ya rais. Kwani huko kanisani watu wanatoa sadaka na kuchanga michango mbalimbali ni kuwa Mungu anashida na hela?