Tunaomba majina ya watuhumiwa sheikh wana-attend hiyo mahakamaMahakama ya Mafisadi ipo, na jengo lake lipo nyuma ya ofisi za TCRA, na ndani ya geti la Law School. Kila siku watuhumiwa wanaletwa hapa na majaji wanakuja. Acheni kusambaza uongo eti hii mahakama haifanyi kazi
Unaweza kututajia mafisadi wazito hata wawili tu waliofikishwa kwenye mahakama hiyo ? usije ukasema Ndama mtoto wa ng'ombe tu
Kama wamefikishwa mahakamani hofu yako nini ?Siwezi
Ulikusudia akamatwe lowassa ili mlalamike!Mnakumbuka Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi katika viwanja vya Nzovwe mjini Mbeya kwenye mkutano wa kampeni ya kuwaomba ridhaa Watanzania ya kuwaongoza katika awamu ya tano.
Dkt Magufuli aliwaeleza wananchi kuwa iwapo watampa ridhaa ya kuiongoza Tanzania,atahakikisha anaanzisha mahakama maalumu ya Mafisadi na Wala rushwa.
Baada ya kuingia ikulu ikaanzishwa mahakama ya mafisadi sambamba ya sheria yake.
Rais mwenyewe amekuwa akilia kwamba awamu ya nne ilijaa mafisadi chungu mzima. Wakati wa kampeni tukaambiwa mafisadi wamekimbilia UKAWA. Tukaambiwa CCM mpya.
Sasa ni miaka hakuna kinachoendelea zaidi ya kesi za tudagaa. Huku wanaotajwa kuwa mafundi wa ufisadi wakiendelea kula mema ya nchi.
Hivi kuna hata FUNDI mmoja wa ufasadi ametolewa kama mfano? Huu ndio wakati sasa wa kufanya remix ya song la mafisadi na sio kuwapiga madodoki mafisadi
Axee we somo la ufahamu ulitoka kapa,ina maana hujaelewa kilichoandikwa?mtu katolea mpk mfano wa vidagaa lkn bdo hujanasa kituMahakama ya Mafisadi ipo, na jengo lake lipo nyuma ya ofisi za TCRA, na ndani ya geti la Law School. Kila siku watuhumiwa wanaletwa hapa na majaji wanakuja. Acheni kusambaza uongo eti hii mahakama haifanyi kazi
Axee we somo la ufahamu ulitoka kapa,ina maana hujaelewa kilichoandikwa?mtu katolea mpk mfano wa vidagaa lkn bdo hujanasa kitu
Kama wamefikishwa mahakamani hofu yako nini ?
Rostam+ lowasa= mahakama ya mafisadiMnakumbuka Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi katika viwanja vya Nzovwe mjini Mbeya kwenye mkutano wa kampeni ya kuwaomba ridhaa Watanzania ya kuwaongoza katika awamu ya tano.
Dkt Magufuli aliwaeleza wananchi kuwa iwapo watampa ridhaa ya kuiongoza Tanzania,atahakikisha anaanzisha mahakama maalumu ya Mafisadi na Wala rushwa.
Baada ya kuingia ikulu ikaanzishwa mahakama ya mafisadi sambamba ya sheria yake.
Rais mwenyewe amekuwa akilia kwamba awamu ya nne ilijaa mafisadi chungu mzima. Wakati wa kampeni tukaambiwa mafisadi wamekimbilia UKAWA. Tukaambiwa CCM mpya.
Sasa ni miaka hakuna kinachoendelea zaidi ya kesi za tudagaa. Huku wanaotajwa kuwa mafundi wa ufisadi wakiendelea kula mema ya nchi.
Hivi kuna hata FUNDI mmoja wa ufasadi ametolewa kama mfano? Huu ndio wakati sasa wa kufanya remix ya song la mafisadi na sio kuwapiga madodoki mafisadi
Wewe Ni mwanamke sheria? Tupe vigezo vya kisheria kuonyesha uhovyo wa hiyo hukumu. Yaani wewe bwana Ni mpotoshaji mkubwa sana unafanana sana kwa tabia na mpiga filimbi wa Hamelin!Mahakama zipo huru ndio sababu hata Jaji Sam Rumanyika akatoa hukumu ya Hovyo katika Historia ya Mahakama lakin haijaguswa wala kuonywa
Mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwaajili ya lowasa.Mnakumbuka Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi,Dkt John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi katika viwanja vya Nzovwe mjini Mbeya kwenye mkutano wa kampeni ya kuwaomba ridhaa Watanzania ya kuwaongoza katika awamu ya tano.
Dkt Magufuli aliwaeleza wananchi kuwa iwapo watampa ridhaa ya kuiongoza Tanzania,atahakikisha anaanzisha mahakama maalumu ya Mafisadi na Wala rushwa.
Baada ya kuingia ikulu ikaanzishwa mahakama ya mafisadi sambamba ya sheria yake.
Rais mwenyewe amekuwa akilia kwamba awamu ya nne ilijaa mafisadi chungu mzima. Wakati wa kampeni tukaambiwa mafisadi wamekimbilia UKAWA. Tukaambiwa CCM mpya.
Sasa ni miaka hakuna kinachoendelea zaidi ya kesi za tudagaa. Huku wanaotajwa kuwa mafundi wa ufisadi wakiendelea kula mema ya nchi.
Hivi kuna hata FUNDI mmoja wa ufasadi ametolewa kama mfano? Huu ndio wakati sasa wa kufanya remix ya song la mafisadi na sio kuwapiga madodoki mafisadi
Hivi hiyo mahakama yako wanapelekwa kina nani kwa sababu kina Habindra Sing na Rugemalira wao tuliwaona Kisutu. Huko ni kina nani walishapelekwa huko?? Hata kina Masamaki walipelekwa Kisutu. Tupiamo hata kadagaa tu kamoja kwenye huo muchuziMahakama ya Mafisadi ipo, na jengo lake lipo nyuma ya ofisi za TCRA, na ndani ya geti la Law School. Kila siku watuhumiwa wanaletwa hapa na majaji wanakuja. Acheni kusambaza uongo eti hii mahakama haifanyi kazi
Hivi hiyo mahakama yako wanapelekwa kina nani kwa sababu kina Habindra Sing na Rugemalira wao tuliwaona Kisutu. Huko ni kina nani walishapelekwa huko?? Hata kina Masamaki walipelekwa Kisutu. Tupiamo hata kadagaa tu kamoja kwenye huo muchuzi