Mahakama yaamuru mwili wa aliyefia Polisi ufukuliwe, uchunguzwe

Mahakama yaamuru mwili wa aliyefia Polisi ufukuliwe, uchunguzwe

Mda mrefu umepita; mifupa haiwezi kutoa majibu sahihi; kwa kifupi tu ni kuwaridhisha ndugu pamoja na kufunga mjadala.
Sikiliza wewe....

Kwa wakristo, Huwa wananazikwa ndani ya jeneza la mbao.

Rate of decomposition ni very slow.

Nyama zinaanza kugeuka udongo labda kuanzia miaka mitano huko.

We unadhani mpaka zile mbao zioze ni leo.
 
Sikiliza wewe....

Kwa wakristo, Huwa wananazikwa ndani ya jeneza la mbao.

Rate of decomposition ni very slow.

Nyama zinaanza kugeuka udongo labda kuanzia miaka mitano huko.

We unadhani mpaka zile mbao zioze ni leo.
Kama mifupa haikuathirika, ni kitu gani kitakutambulisha alijinyonga?; mwili wa mwanadamu ukiwa chini ukichangia na joto lililopo unakuwa mlaini kama mwili wa samaki kambale, na unaoza haraka sana.
 
Kwa wakristo (marehemu Stella), soil has got nothing to do with body decomposition.

Maana wanazikwa ndani ya jeneza la mbao.

Angekua Muislamu sawa.


Kwani kinacho decompose mwili ni udongo??!!, ni bacteria ambao huanza ku decompose kuanzia tumboni kutoka nje.
 
GPO GPO kuona kama taratibu, kanuni zilizopo ktk mwongozo wa GPO ulitekelezwa kuanzia toka marehemu anajisalimisha kituo cha Polisi na pia kuhitimishwa kwa kuona kama kulifanyika kwa kina uchunguzi wa kifo.


[PDF] Mambo 101 Unayohitaji Kuyafahamu Kuhusu Polisi Lakini Unaogopa ... humanrightsinitiative.org › police​


Jeshi la Polisi lipo kama sheria inavyoelekeza kuhakikisha kuwa kila mtu, wakiwemo askari polisi wanafuata sheria katika kila hatua. 3. Jeshi la Polisi.....
 
Tunapaswa kujielimisha angalau kidogo kuhusu forensic science kabla ya kutoa maoni kwenye masuala kama haya.
 
 
Back
Top Bottom