Mahakama yaamuru mwili wa aliyefia Polisi ufukuliwe, uchunguzwe

Kwahiyo hata mimi hapa tumboni ninao bacteria 🦠 ambao nikifa wataanza kunishambulia?


Kila kiumbe hai kinao Bacteria, hata katika hewa, maji, udongoni nk, kote humo wamejaa bacteria, kwenye matumbo ( intestines) kumejaa bacteria kibao, kwanini mtu ukiwa hai bactetia wanakuwa hawana madhara??!--- Kwasababu mwili unayokinga dhidi ya hao bacteria na tunapokufa kinga nayo inakufa hapo ndipo bacteria huanza kuula (decomposition) mwili hasa kuanzia ndani ya matumbo (intestines) kuja nje, kutokea nje kwenda ndani sio sana kwani bactetia wa nje mara nyingi sio wengi kama wale waliomo ndani.

Ukinunua samaki mbichi na ukitaka kumsafirisha kwa masaa kama 8 na zaidi ili asiharibike haraka mtoe matumbo yote kisha mpakaze chumvi na umning'inize ili apate hewa, kumtumbua maana yake ni kuondoa wale bacteria wa tumboni ambao ndio very active kuozesha samaki akiwa mbichi.
 
hio ni kiini macho tu hakuna kitu Ndugu wa marehemu wataambulia watapigishwa zogo mpaka basi maana Polisi na Mahakama ni kitu kimoja hakuna lolote hapo.

unakuta kuna watu wanaamini Mahakamani kuna haki ila ukweli ni kwamba hakuna haki wala nini
 
Mungu fundi sana Mwaisa…
 
Sikiliza wewe....

Kwa wakristo, Huwa wananazikwa ndani ya jeneza la mbao.

Rate of decomposition ni very slow.

Nyama zinaanza kugeuka udongo labda kuanzia miaka mitano huko.

We unadhani mpaka zile mbao zioze ni leo.
Hata nyama haziwagi udongo huwa zinasinyaa,kama ulivosema mtu akizikwa kwenye jeneza decomposition inachelewa, mara ya mwisho nilifuatilia YouTube wazungu walishafanya hadi research hii hata hiyo miaka 5 bado mtu anakuwa na nyama
 
Kama ni fuvu au mifupa imegongwa hadi kupinda itaonekana. Issue sio nyama. Ndio maana mammoth wanaweza kujulikana maisha yao
Yah,kuna maiti ya mtu aliishi miaka zaidi 1500 iliyopita,walipompata huko kwenye milima walichunguza hadi chakula alichokula mara ya mwisho

Mwingine aliishi zama za Yesu walipata maiti yake jangwani hapo Egypt na kufanya utafiti waligundua kifo chake kilitokana na kupigwa kichwani na mtu aliyetokea nyuma
 
watakuta nin zaid ya mifupa tu miaka miwil imepita!

ingekuwa mie ningeroga kituo kizima kila wakiamka wanajikuta wapo selo humohumo kituon!

wakilala wanakuwa wanaota wanasikomezwa dushe na kukuta pameloa wakiamka!
Mwili bado upo vizuri tu ila sasa wataalam wa hayo mambo kama wapo hap kwetu
 
Dah
Iliniuma. Mtu unaemfahamu kapatwa na vitu kama hivi. Imebaki kumbukumbu kichwani kuwa alikuwepo.
 
watakuta nin zaid ya mifupa tu miaka miwil imepita!

ingekuwa mie ningeroga kituo kizima kila wakiamka wanajikuta wapo selo humohumo kituon!

wakilala wanakuwa wanaota wanasikomezwa dushe na kukuta pameloa wakiamka!
Kama mwili ulifanyiwa Ile treatment kabla ya mazishi wataukuta ukiwa intact.
 
nimeandika nimefuta nimeandika nimefuta tena ila nimekaa kile kituo cha mburahati kwa siku sita kama mahabusu

kujinyonga...????
mwanamke...????
umbali kutoka ktk vile vidirisha mpaka ktk sakafu doesn't make sense
 
Kwahivyo, watajichunguza wenyewe hapa. Eh!
 
Yaani hata wiki aijapita natoka kusoma mahakama imeamuru maiti ifukuliwe kwa uchunguzi, dah!

Leo tena naona mwili wa Stella, J wa Mburahati kufukuliwa alifia kituo cha polisi 2020 kwa kujinyonga.

Hii story ndugu walilia kila magazeti kuomba msaada kuchunguza ndugu yao amejiuaje.

Embu tuwe na ubinadamu jamani. Huyu ndugu zake waliomba sana uchunguzi, sijui iliishia wapi wakaamua kuzika. Leo hii 2 yrs kweli mnaenda kumfukua kuchukua nini huko?

Kama mlishindwa uchunguzi alipofia kituoni leo kuna imani ipi kujua yatakayojiri baada ya uchunguzi nini tofauti na mliyoyasema amejiua?

Tusitiri marehemu wapendwa.

Ombi langu.
 
Anakufa x 2. Tapeli wa kike aliyekuwa amekubuhu. Mungu amhurumie kwa kufanya kazi za kudhurumu na utapeli. Devil
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…