Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
mkuu mbona kama unaogopa? subiri zamu yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sanaKuzaa mtoto wa kiume ni mtihani mnoo kizazi hiki na mzazi anatakiwa amchunge mnoo kuliko wa kike
Fedha gani?Wanatafuta fweza
Sasa shida ikawaje?Waliosoma na Noel Uboyzini huko wanakwambia alikuwa mzima kabisa....
Kutaka luxury life na status mjini...Sasa shida ikawaje?
Hakuna anaesapoti isipokuwa why viongozi waachwe na hao wanao fafanya kwanini wasishikiliwe pia?Ni mpumbavu tu ndo atakaeweza kusapoti ushoga. Hii ni laana na dhambi kubwa sana, tupinge kwa nguvu zote
Wewe wa kupimwa pia kundi moja na juma lokole zamu yanuThis is unacceptable, tumeanza lini inchi kuwa hivi?? This is state failure, ushoga wake ww una kuhusu nini?
Kuna watu wangapi hapa tz wanateyesi hizo? Kuna boss mmoha mwarabu kazi yake kununua hao magay na kuwapa pesa na wanamjua why wamuache? Huyo ndio anaharibu vijanaNinavyojua hawawezi kamata tu mtu yeyote na kwenda kumpima mpaka watakapo pata tetesi kua anajihusisha na hayo mambo ndio wataenda mpima, iko sawa tu mdau usimind. ngoja watusafishie mitaa, nini kuwafunga? wangewapoteza kabisaa wasiwepo uraiani.
Picha zao tafadhaliKatika kipande cha amri inayodaiwa kutolewa na mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kivukoni iliyopo Kinondoni inaonesha Mwanamitindo Noel Ndale Mushi maarufu kama Noel ambaye ni mbunifu wa mavazi ya wasanii , Kelvin Maliki Ngao maarufu kama Kelvin Events na Mzungu Mmoja anauejulikana kama David wameamriwa wapimwe endapo wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja yaani ushoga na mpaka sasa bado wanashikiliwa na polisi Oysterbay.
Ikibainika wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja watakabiliwa na kifungo cha miaka 30 jela kwa mujibu wa Sheria za Tanzania.
View attachment 2594881View attachment 2594882
Wacha tuwapeleka gerezani wakatinduliwe nnya vzr zaidiYaan inashangaza kwa kweli, ndo hii nchi imefikia huku? Ni maajabu mnooo.
We kila comment ni kuchekacheka tu naona leo umekaza hahahNi zaidi ya udhalilishaji haswaaa, haikubaliki hata kidogo.
Waliokamatwa watawataja wanaowafanya.Shida ni kuwa tusiwalaumu mashoga tu ,mabasha pia ndio wameleta hili tatizo hatusemi.Wangekosa wateja ,tusingekuwa na mashogaHakuna anaesapoti isipokuwa why viongozi waachwe na hao wanao fafanya kwanini wasishikiliwe pia?
Siwezi kuwa na picha ya shogaTupe picha zao tuone na sisi wakoje?
Ndo kipimo.chenyewe hicho..kwa kawaida mk""ambao haujaingiliwa kidole kidogo hakipiti..Umuingizie mtu vidole kumpima, kama kuna unyanyasaji sidhani Km umepita kiwango hiki…