Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Nchi yetu hairuhusu mapenzi ya jinsia moja.Na jamii yetu haipendi.

Kwa hiyo kama leo hii mim mtu mzima nikiamua kutembea uchi niachiwe tu sbb ni kalio na kei yangu nimeamua ipigwe
upepo hata kama
inawakera wengine?

Hata wazungu wanapinga ushoga ni vile tu ishakua too late kwao,wanalazimishiwa kuukubali.
Acheni sisi tujaribu kuokoa jamii yetu kama mambo hayajazidi unga.
 

Attachments

  • FED6BB49-CF87-4184-A566-938BBD11D877.jpeg
    104.1 KB · Views: 5
  • D347D2F4-F3D6-4538-B611-C259C65E3490.jpeg
    237.2 KB · Views: 5
  • 9FE15014-E06F-4491-BBD8-5061C91F25F8.jpeg
    82.3 KB · Views: 5
  • 601A1BD8-08AA-49A0-98CE-C15201B68157.jpeg
    310.7 KB · Views: 5
  • 0378D1BB-B3F3-47BA-BA69-A49C90A9403D.jpeg
    100.1 KB · Views: 5
Huyu Mushi amefeli wapi aise.
 
Tuonyeshe hao viongozi unaowasema wakiwa wamejirecord na kupost wakikata viuno na kufanya uchafu mwingine wa kishoga tuwakamate.

Tunaanza na hawa hawa kina delicious walioota mapembe na kufanya huu ushenz hadharan
Mkuu nenda fish martket mida ya saa sita usiku pale utawakuta wengi pale sitaki kutaja vitu vyote nalinda usalama wangu nikamatwa hamtakuja kunisaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…