Ikitokea wewe umeshtakiwa kuwa ni shoga na mahakama ikasema ukapimwe malinda unaona ni sawa?We akili za kawaida unaona wale wanasingiziwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikitokea wewe umeshtakiwa kuwa ni shoga na mahakama ikasema ukapimwe malinda unaona ni sawa?We akili za kawaida unaona wale wanasingiziwa?
Wana angalia Malinda kama yapo au ayapo! Kwa Macho kama mtu anaingiliwa kusiko usika ! Size ubadirika na ata kwa macho inaonyesha hivyoTangu lini ushoga ukapimwa hospitali? Yani mambumbumbu ni wengi sana kuanzia viongozi mpaka wananchi. Alafu wanaowafira ndio hatari zaidi hao ndio wakushughulikiwa. Hovyo sana.
Unaropoka tu, tutawadaka na mtapotea kimya kimyaHatuendi popote
Database yao ipo, sasa huko wanapoenda ndo watalelewa bure?Kuna chapisho la Mange kule Instagram,anawa alert mashoga watunze passport na wajipeleke kwenye balozi zaa walaji
Masingo maza ni hatari kwa taifa tuwapinge haswaaHalafu sometimes yanazurura Bar na mtoto,likiona mwanaume unasikia mwambie uncle akununulie chips kwanin mtoto na yeye asiwe changu au shoga
Nchi yetu hairuhusu mapenzi ya jinsia moja.Na jamii yetu haipendi.Haya mambo ya kupima watu wanavyofanyana kuna kipindi tutayaangalia kama kipindi cha kuonea aibu kabisa katika taifa letu.
Kwanza unampimaje mtu kwenye hili? Unatumia kipimo gani? Unajiridhishaje mtu yuko alivyo kwa maumbile yake tu au kwa ushoga?
Na kama yeye mtu mzima kaamua kumpa kinyeo chake mtu mwingine kwa hiyari yake, wewe inakuhusu nini?
Halafu basha naye unampimaje? Au yeye hapimwi?
Hawakosei kukushtaki na kukupeleka mahakamani. Wanakuwa washajiridhishaIkitokea wewe umeshtakiwa kuwa ni shoga na mahakama ikasema ukapimwe malinda unaona ni sawa?
Una picha zao? Watani zangu Wachaga imekuaje Tena?
Huyu Mushi amefeli wapi aise.Katika kipande cha amri inayodaiwa kutolewa na mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kivukoni iliyopo Kinondoni inaonesha Mwanamitindo Noel Ndale Mushi maarufu kama Noel ambaye ni mbunifu wa mavazi ya wasanii , Kelvin Maliki Ngao maarufu kama Kelvin Events na Mzungu Mmoja anauejulikana kama David wameamriwa wapimwe endapo wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja yaani ushoga na mpaka sasa bado wanashikiliwa na polisi Oysterbay.
Ikibainika wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja watakabiliwa na kifungo cha miaka 30 jela kwa mujibu wa Sheria za Tanzania.
View attachment 2594881View attachment 2594882
Kipi kinakufanya uone sitatetea mwanangu akiwa shoga?Zaa mtoto aje ***** tuone ka utaja tetea huo upumbavu huku
Acha kujifanya keyboard warriorUnaropoka tu, tutawadaka na mtapotea kimya kimya
Si ndio au?Mdada tena 😂
Haha hapa Jf kaa kimastaSi ndio au?
Mkuu nenda fish martket mida ya saa sita usiku pale utawakuta wengi pale sitaki kutaja vitu vyote nalinda usalama wangu nikamatwa hamtakuja kunisaidiaTuonyeshe hao viongozi unaowasema wakiwa wamejirecord na kupost wakikata viuno na kufanya uchafu mwingine wa kishoga tuwakamate.
Tunaanza na hawa hawa kina delicious walioota mapembe na kufanya huu ushenz hadharan
Tatizo hili...Tatizo wa hawa machoko yaani hawawezi kutulia wakikaa sehemu wanataka wajulikane na watu wajue uchoko wao ni kitu cha kawaida hii haikubaliki wanatuambukizia watoto wetu Ufilauni wao.
Mdakwe wangapi? Na kina nani?Tatizo ni kwamba muarabu akipimwa atakutwa na rinda kaz kwenu wasaka tonge kwa kuuza rinda lazime mdakwe
ngashtuka mkuu.Haha hapa Jf kaa kimasta