National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Kivipi wanaonewa ?Upuuzi tu wanawaonea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi wanaonewa ?Upuuzi tu wanawaonea
Yeah......hii ni nzuri ya kimyakimya. Anakupiga mwingi.Mama ana piga kimya kimya..
Nadhani wakiaanza na hawa wanao jionesha na kufahamika na jamii...
itakuwa ni tishio kwa wengine.
Kwa hiyo hapo akina Kumbuka, akina, Aggrey wajiandae
Naona Kila MTU anamtaja!Nadhani
Basi kama ni wake asiutangaze , msi utangaze muendelee kufanya Siri Ili watoto wetu wasi igeThis is unacceptable, tumeanza lini inchi kuwa hivi?? This is state failure, ushoga wake ww una kuhusu nini?
Wamefanya kosa gani?Kivipi wanaonewa ?
Kwa kuchomeka mapapai vidole!? [emoji23]Mshikaji akidunduliza huenda akajenga bungalow kabisa
Kutuhumiwa kwani ni kosa ? Subiri uchunguzi uishe.. maana hata wewe mtu anaweza kukutuhumu umeiba kitu, lakini haikutii kwenye kosa hadi uchunguzi na ushahidi usio na shaka ndio utakutia hatiani au kukuweka huru..Wamefanya kosa gani?
Bibi na bwana
You are next 🤣🤣🤣Upuuzi tu wanawaonea
sasa mlitaka wapimweje?sisi watanzania hatuelewi tunataka nini! maendeleo yaletwe na mila na desturi zetu zilidweNi zaidi ya udhalilishaji haswaaa, haikubaliki hata kidogo.
Nimekumbuka lile lichaga jingine lililohalalishwa kabisa kuwa Punga la Mzungu miaka minne iliyopita kule UK.Wachaga wanapumuliwa sana
Una ruhusiwa kwenda kuwatetea au kuwawekea Wakili Humu JF ni story tu: Akuna mwenye Mamlaka na hili atakaekusikia humu. Wewe nenda Mahakamani Kawatete maana ni Binadamu hawa na zipo Haki za BinadamuThis is unacceptable, tumeanza lini inchi kuwa hivi?? This is state failure, ushoga wake ww una kuhusu nini?
ktk comment zote nilizosoma nimemshangaa sana huyu jamaa anawatetea sana hawa mashogaSheria ifuate mkondo. Ushoga haukubaliki kamwe katika jamii ya Tz.
Ikiwezekana na wewe upimwe maana unatetea huu ufirauni