Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Kweliii?!!na kadinda pia ,loydemich
Ilikuaje Kawa choko?!!
Ndiyo...
Wanasema hakuwa na hayo mambo....Ameyaanza kwenye utafutaji huko...
Mimi kananiuzigi vile kanajiweka kike kike kabisa... hadi mavazi...na kujichetua...

Huyo Loyd si ndiyo yule shagake Uwoya?
Labda kaona Uwoya anaishi vyema mjini akaona ya nini mie[emoji2]
 
Ushauri kwa serikali

Jichunguzeni wenyewe, undeni vikosi maalumu vya kuwatafuta hawa mashoga
Wakamateni na hakikisheni wanakiri wenyewe
Wapelekeni mahakamani, mahakama itekeleze Kifungu 154
Wasipelekwe Segerea, Ukonga

Wafanyiwe relocation kwenda
Mtego wa Simba
Maweni kupasua mawe
Luanda kulima

Wapelekwe mbali ili ndugu zao wasiende kuwasalimu
 
Back
Top Bottom