Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mushi akizisaka chapaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mushi akizisaka chapaa
Aione cocastic kwenye jaladaKatika kipande cha amri inayodaiwa kutolewa na mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kivukoni iliyopo Kinondoni inaonesha Mwanamitindo Noel Ndale Mushi maarufu kama Noel ambaye ni mbunifu wa mavazi ya wasanii , Kelvin Maliki Ngao maarufu kama Kelvin Events na Mzungu Mmoja anauejulikana kama David wameamriwa wapimwe endapo wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja yaani ushoga na mpaka sasa bado wanashikiliwa na polisi Oysterbay.
Ikibainika wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja watakabiliwa na kifungo cha miaka 30 jela kwa mujibu wa Sheria za Tanzania.
View attachment 2594645
Mbona zilishafungwa kitamboNa pisi zinazo kaa uchi pia zifungwe, porn site, social media zote zifungwe.
Na smartphone pia zipigwe marufuku kutumika kwa inji hii 😁Na pisi zinazo kaa uchi pia zifungwe, porn site, social media zote zifungwe.
Kidole tu mnasema anadhalilishwa wakati yeye anaingizwa uumeNi zaidi ya udhalilishaji haswaaa, haikubaliki hata kidogo.
Kaskazini hatunaga hizi mambo nashangaa huyu jamaa ametokea wapi jombaa?!Wachaga wanapumuliwa sana
Hii ishakua department Sasa inahitaji watalaam mtambuka Zaid na zaidYule daktari aliyempima afande Rama amejipatia dili lingine [emoji23]
Duh hii taarifa ni kweli??Aione cocastic kwenye jalada
Walikuwa chadema waleMbona siku hizi JF haitafsiri tena habari "For the English audience" kama awali.
Maana habari zote zilizowagusa wazungu zilitafsiriwa.
Umemsahau Rio..Hao waliofanyiwa hvyo serikali haijakurupuka Wanajua exactly wanachokifanya
Kevins,Phill cakes na noel ni mashoga wanaojidhihirisha waziwazi
Kama Noel jamani....Hapana..Hivi Mtu akiwa choko Mpk ajidhihirishe si wafanywe kimya kimya km kina Fulani
Hao nao wamezidi bwanaaa...yaani hawajifochi ht kidogo kaahh
Waliosoma na Noel Uboyzini huko wanakwambia alikuwa mzima kabisa....Ila wachaga[emoji848][emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]LolKusafiri asafiri muarabu akisafiri mzaramo kaenda ngomani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata kama angekuwa nalo zuri kama hili lako Witnessj bado ni laana tu.Tutako twenyewe sasa[emoji848]
NadhaniDuh hii taarifa ni kweli??