Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Halafu naona Mange Kimambi anawatafutia hifadhi kwenye ubalozi wa Marekani?Nacheka tu mwenyewe ,hawa wakienda Marekani watarudi wenyewe ,kule hakuna uswahili na lazima ufanye kazi yaani ushoga haikupi pesa ni part ya starehe tu
Sasa watapaa hadi huko?
Marekani haiwezi haribu sifa yake na Tz kisa wapumbavu wachache, wakati China anayemelea
 
Ukiona umekamatwa na kwenda kufanyiwa vipimo ujue kuwa una chembe chembe za hayo mambo haiwezekani wewe upo njema ukakamatwa na kwenda kufanyiwa vipimo haiwezekani


Hawa jamaa ni kero acha wachukuliwe hatua kuhusu ripoti ya CAG yote hayo kero acha waanze na hilo la USHOGA alaf la CAG linafata hakuna tunacho kihitaji hapo
Sasa lipi kwako muhimu ripot ushoga?
 
Back
Top Bottom